# BEMBEA YA MAISHA FULL FILM

https://www.youtube.com/watch?v=sjeFB4PMU98
Translation: en

[00:43] sana
  Really.

[00:46] bado ngali pale pale
  Still the same.

[00:51] na nyumba hii haifuki walau moshi
  And this house doesn't even have smoke.

[00:54] hata kama chakula kwako ni tau
  Even if food for you is enough.

[00:59] hiyo namna Mume wangu moshi utafukaje?
  In that way, my husband, how will smoke be produced?

[01:02] Mwenzio nilivyo hivyo kichwa kimeudara
  As for me, my head is troubled.

[01:04] moto siku nzima
  fire all day.

[01:07] na unajua ni kwa ajili ya haya maradhi
  And you know it's because of these illnesses.

[01:09] si uzembe wala raha.
  It's not negligence or comfort.

[01:11] Ndipo tufe njaa. Eh
  Then we will die of hunger. Eh.

[01:13] sivyo
  It's not like that.

[01:14] ndivyo njaa haileti shibe Sara. Najua
  That's how hunger doesn't bring fullness, Sara. I know.

[01:18] lakini mwenzio nifanye nini?
  But what should I do?

[01:21] Eh miaka yote nikiwa mzima wa afya mbona
  Eh, all these years when I was healthy, why

[01:23] sikufanya ajizi?
  was I lazy?

[01:28] Muda wote huu nikipika mimi nakiandaa na kukaribisha ule.
  All this time I was cooking, I was preparing and welcoming the meal.

[01:32] Iweje leo hiyo kazi nishinde?
  Why should I fail at that task today?

[01:32] Yalaumu maradhi.
  Blame the illnesses.

[01:42] Basi mbona usimuite binti hiyo akaja
  Then why don't you call the daughter, she came.

[01:44] Akakupeleka hospitali?
  Did he take you to the hospital?

[01:45] Mwache mtoto apumzike.
  Let the child rest.

[01:46] Hivi atayashika mangapi?
  How many will he hold?

[01:50] Apumzike nini? Mimi nilipumzika kumpeleka shule.
  Rest from what? I rested from taking him to school.

[01:54] Ha. Hukupumzika.
  Ha. You did not rest.

[01:57] Soda tulizatiti tukalea pamoja na hizo tano ila tulikuwa tunatimiza wajibu.
  We raised the sodas and raised them together with those five, but we were fulfilling our duty.

[02:04] La kila mbegu ipandwayo haina budi kuzaa.
  For every seed sown, it must bear fruit.

[02:09] Naizaa hapo mazao yake huvun. Mtu huitakasa sahani akijua itamfaa tena.
  I bear its fruits there. A person cleans the plate knowing it will be useful to him again.

[02:18] Kinacholelewa hakina budi kulea.
  What is raised must raise.

[02:21] Sina shaka na kauli hiyo ya hekima.
  I have no doubt about that wise saying.

[02:26] Lakini huyo mtoto naye pamoja na mzigo wa familia yake amejaribu kiasi chake amewafaa wanuna wake kwa hali na mali.
  But that child, along with the burden of his family, has tried his best and has benefited his elders in every way.

[02:37] Nasikia kulipa elimu ya chuo kikuu si lele mama.
  I hear that paying for university education is not child's play.

[02:41] Jambo hili limewashinda wanaume wenye mishahara minunu serikalini.
  This matter has defeated men with huge salaries in the government.

[02:46] Kutoa ni moyo.
  Giving is from the heart.

[02:46] Usambe ni utajiri.
  Do not say it is wealth.

[02:49] Lakini pamoja na moyo huo mtu ujikuna ajipatapo.
  But with that heart, a person scratches themselves when they get something.

[02:53] si neno lakini sharti ujue kwamba fimbo ya mzee huridhi mtoto wa kwanza.
  It is not a word, but you must know that the elder's stick is inherited by the firstborn child.

[02:59] na ni wajibu fimbo wanaridhi watoto wa kiume sio wa kike.
  And it is a duty, the sticks are inherited by male children, not female.

[03:03] Huyu sasa ana kwake na ndoa ina mahitaji yake.
  This one now has their own, and marriage has its needs.

[03:06] Ndoa angeipata wapi kama sio elimu niliyojinima mengi ili aipate?
  Where would she have gotten married if not for the education I gave her a lot of so she could get married?

[03:19] Nikumbuka hapo malezi damu hufuka.
  I remember there, upbringing, blood is shed.

[03:24] ni kanuni kwa kila alielea kweli m hapo ulicheza vizuri.
  It is a rule for everyone who was truly raised, you played well there.

[03:42] naye anajua na ushukuru hata hivyo aliyefanya hakika hayana.
  And he knows and is grateful, however, the one who did it truly has none.

[03:48] Kwani amefanya lipi la ajabu kulipia ndugu zake karo hiyo ni ajabu.
  What amazing thing did he do to pay tuition for his relatives? That is amazing.

[03:53] Si hoja hiyo.
  That is not the point.

[03:55] Basi hoja ni ipi?
  So what is the point?

[03:56] Ugonjwa huu usingenibakisha hata nikaiona leo hii.
  This disease would not have left me even to see today.

[04:02] Ulikuwa umenila kiasi cha kuniacha chicha.
  It had consumed me to the point of leaving me as chaff.

[04:05] Chicha kavu kwenye mwako wa jua.
  Dry chaff in the heat of the sun.

[04:08] Hadi akaja yeye na kunipeleka kwa wataalamu.
  Until he came and took me to the specialists.

[04:14] Leo nisingekuwako.
  Today I would not be here.

[04:17] Najua unamtetea kwa sababu ya hiyo.
  I know you are defending him because of that.

[04:20] Si mimi tu.
  It's not just me.

[04:28] Sote tumefaidi uzazi wetu.
  We have all benefited from our upbringing.

[04:31] Ni kubwa gani alilonifanyia mimi?
  What great thing did he do for me?

[04:38] Yona umesahau mara hukumbuki Neema alituajiria wafanyikazi kutusaidia.
  Yona, have you forgotten, or don't you remember Neema hired workers to help us.

[04:43] Wako wapi wafanyikazi hao?
  Where are those workers?

[04:44] Wa kwanza aliondoka mwenyewe alipodai kazi ni nyingi hapa.
  The first one left on his own when he claimed there was too much work here.

[04:50] Wa pili tumemwachisha kazi sisi wenyewe kwa sababu hakuwa mwaminifu.
  Secondly, we fired him ourselves because he was not loyal.

[04:55] Kuna kazi gani nyingi hapa?
  What kind of jobs are there many here?

[04:56] Hiyo ndio ajabu.
  That is the wonder.

[05:00] M kizazi hiki hakitaki kufanya kazi.
  This generation does not want to work.

[05:03] Kinataka kuja kazini kwa sababu ya mshahara tu.
  It wants to come to work just for the salary.

[05:06] Wachapakazi hodari ni njozi iliyopotea.
  Hardworking workers are a lost dream.

[05:10] Nilipokuwa na afya yangu tulishirikiana kutafuta riziki ya kuwalea watoto wetu.
  When I was healthy, we cooperated to find a livelihood to raise our children.

[05:15] Kweli japo mara nyingi haikuwa rahisi tulijitolea hadi tukashinda.
  Truly, although it was often not easy, we dedicated ourselves until we won.

[05:21] Leo hali ni tofauti.
  Today the situation is different.

[05:24] Bila yeye na moyo wake Rahimu wa kusaidia sijui wenzake wangekuwaje.
  Without him and his supportive heart, Rahim, I don't know how his colleagues would be.

[05:29] Wasichana wengi wakiolea huwasahau ndugu zao hutupa jongo na mti wake.
  Many girls when they get married forget their relatives, they throw away their pride and its tree.

[05:34] Sisi tuna bahati ya mtende.
  We are lucky like a palm tree.

[05:36] Mtotoikilia na kutupiga jeki.
  The child clings and supports us.

[05:38] Ndio asitutilie kondo hapa tena.
  Yes, may he not put a curse on us here again.

[05:41] Simaanishi hivo nasema tu kwamba mzigo alituondolea ni uzito basi inafaa sisi tumuelewe.
  I don't mean that, I'm just saying that the burden he removed from us is heavy, so it is appropriate for us to understand him.

[05:49] Ni wazi kama mchana kwamba kwa vile
  It is as clear as day that because

[05:52] yanagharamia matibabu yako haungetaka kusikia jingine.
  If you are incurring medical expenses, you would not want to hear another thing.

[05:56] Jamani mtoto amejaribu. Mh hivi umesahau kuwa hata wewe anakutumia hela za kununua dawa?
  My dear, the child has tried. Hmm, have you forgotten that even you are using money from him to buy medicine?

[06:02] Hata sasa umetumia mapeni ulitumiwa kwenda kwa wazee wenzio ila wasikuone shabiki tu.
  Even now you have used the money you were sent to go to your elders, but they don't see you as just a fan.

[06:08] Shabiki ndio la sivyo wangekuwa wameshakubandika jina wakakupiga vijembe na kusema pasi mwenyewe katambua.
  A fan, yes, otherwise they would have already branded you, made sarcastic remarks, and said that you yourself have realized it.

[06:18] Ala kumbe hivyo ndivyo wanawaambia nao eh
  Oh, so that's how they tell them too, eh?

[06:21] mhm yapi tena?
  Mhm, what else?

[06:26] Eti mimi ni mzigo eh wananisaidia unanichonganisha nao.
  They say I am a burden, eh, they are helping me, you are setting me against them.

[06:32] pana haja gani ya hayo? Wasiwasi wako mwenyewe tu.
  What is the need for that? It's your own worry.

[06:37] Lakini ndio tabia yenu wanawake.
  But that is your habit, women.

[06:39] Miaka inaposonga kama hivi mnatuona sisi kama tambara mbovu.
  As the years go by like this, you see us as worn-out rags.

[06:46] Tambara lilizomjia hata mpiga deki wa kilini. unayafanya makubwa bure mwenzangu unafahamu vizuri kuwa hiyo sio
  A rag that came to him, even the cleaner of the toilet. You are making a big deal for nothing, my friend, you know very well that this is not

[06:54] hulka yangu sasa mimi nina haja gani
  What is my nature now, what do I need?

[06:57] kuvunja mji kila tukizungumza linatokea
  To break the city, every time we talk, something happens.

[07:00] jambo lisilokaa vizuri.
  A matter that does not sit well.

[07:02] Narudi pale watoto wako
  I return there, your children

[07:04] watakuwa wangu mimi tu vipi?
  Will they be mine alone, how?

[07:07] Watoto hawa si zawadi ya ushirika wetu.
  These children are not a gift of our union.

[07:10] Wangapi wanatamani kuziona angalau sura zao
  How many wish to at least see their faces

[07:12] lakini hawakujaliwa?
  but were not favored?

[07:16] Umesahau mara Yona basi nawe usiyafanye marefu kuliko
  Have you forgotten, Jonah, then you also should not make them longer than

[07:20] yanavyostahili.
  they deserve.

[07:20] Nimesikia.
  I have heard.

[07:24] Haya lilobaki sasa ni sisi wazazi wake kumpa
  Okay, what remains now is for us, his parents, to give him

[07:27] baraka zetu.
  our blessings.

[07:31] Haya na iwe basi
  Okay, let it be so.

[07:37] nyumba hii leo haifuki.
  This house today is not drying.

[07:40] Subiri
  Wait

[07:42] nimempelekea Dina salama aje atufanyie
  I have sent Dina safely, let her come and do for us

[07:45] chochote.
  anything.

[07:49] Mwenzio nilivyo hivi hata sijifai kitu.
  My companion, the way I am, I don't even feel like anything.

[07:52] Mwili mzima. Ah mfano wa bua
  The whole body. Ah, like a straw.

[07:58] Aidhuru.
  Aidhuru.

[08:01] Nitasubiri hatakawia.
  I will wait, he will not delay.

[08:04] Itika mwito haraka.
  Answer the call quickly.

[08:19] Hivi ndivyo umekula.
  This is how you have eaten.

[08:21] Umeshimba Simba mama.
  You are full, Simba mama.

[08:22] Eh.
  Eh.

[08:23] Tumbe lenyewe liko wapi? La kula sana.
  Where is the stomach itself? To eat a lot.

[08:27] Hata mtoto hawezi kugusa gusa vile ulivyofanya wewe.
  Even a child cannot touch like you did.

[08:29] Eh ninakushangaa.
  Eh, I am surprised at you.

[08:33] Ni kama unayekiogopa chakula.
  It's like you are afraid of food.

[08:37] Si hivyo mama.
  It's not like that, mama.

[08:38] Tumbo lenyewe limeshafanya mazoea.
  The stomach itself has gotten used to it.

[08:42] Ardhi hiyo ya kulimwa na kuzalisha chakula iko wapi?
  Where is that land for cultivation and producing food?

[08:43] Hata ingekuwepo mvua imeshafanya ugeni.
  Even if there was rain, it has become a stranger.

[08:47] Imeadimika afadhali wale wadaku.
  It has become scarce, better those who are stingy.

[08:50] Sasa ni wakati wa kujifunga masombo mama.
  Now is the time to tie the loincloths, mama.

[08:53] Masombo hufungwa kama walau mtu ametia
  Loincloths are tied as if at least a person has put on

[08:59] kitu mdomoni.
  something in the mouth.

[09:02] Eh pamoja na hali ngumu iliyopo hatujafikia pa kukosa mlo wa kimsingi.
  Eh, despite the difficult situation, we have not reached a point of missing basic meals.

[09:06] Ndio hatumudu viliwa vya samli lakini hatuwezi kuishi kana kwamba tumezongwa na njaa.
  Yes, we cannot afford ghee but we cannot live as if we are overwhelmed by hunger.

[09:13] Eh tazama ulivyokonda yaani ni kama unashindana na ng'onda.
  Eh, look how thin you are, it's like you are competing with a cow.

[09:21] Hii nafasi ya ng'onda waitaka kwa nini?
  Why do you want this cow's position?

[09:23] Sivyo unavyochukulia mama.
  That's not how you see it, mother.

[09:26] Ha ni vipi? Basi niambie.
  Ha, how is it? Then tell me.

[09:30] Dunia ya sasa haidhamini kimo.
  Today's world does not value height.

[09:35] Inadhamini akili.
  It values intelligence.

[09:37] Haitaki kututumia misuli. Inataka tambo la fikra.
  It does not want to use our muscles. It wants the strength of thought.

[09:42] Haya basi. Ah muone Neema.
  Okay then. Ah, look at Neema.

[09:47] Binti Yona si kiefefefe tu lakini chuma cha reli.
  Yona's daughter is not just flimsy but strong as iron.

[09:50] Yule tangu akiwa kiduchu amekuwa na kimo kama sindano ya nguo.
  That one, since she was little, has had a build like a sewing needle.

[09:57] Vile vile mwenye akili kama ncha ya sindano. Eh mimi mara
  Likewise, with intelligence like the tip of a needle. Eh, I, for a long time

[10:00] ya mwisho kumuona alikuwa vile vile
  The last one to see him was the same

[10:02] lakini akikutazama
  but looking at you

[10:04] unahisi anakusoma fikira zako.
  you feel he is reading your thoughts.

[10:09] Yona
  Jonah

[10:10] Yona naye anaingilia wapi?
  Jonah, where does he come in?

[10:12] Njia
  The way

[10:14] sawa na moyo wa mwanadamu. Mh.
  is like the human heart. Hmm.

[10:17] Wanavyosema
  As they say

[10:19] njia haimwaguli msafiri.
  the path does not choose the traveler.

[10:23] Mama siku zote imeisha sawa na safari ni
  Mother, all days have ended the same, and the journey is

[10:26] fumbo.
  a mystery.

[10:28] Nikwambie mwanangu
  Let me tell you, my child,

[10:31] Sara ametiwa sana vinywani mwa watu
  Sara has been much in people's mouths

[10:35] ametafunwa kama chingamu
  chewed like gum

[10:38] lakini naye hakuwa chingamu ya kuisha
  but she was not gum that runs out

[10:41] sukari.
  sugar.

[10:43] Inasikitisha tu kwamba sasa maradhi
  It is just sad that now the diseases

[10:46] hayaishi kumwandama. Nimemgeuza ngoma.
  do not stop following her. I have turned her into a drum.

[10:51] Ah
  Ah

[10:52] nilimuona akitoka kliniki mnyonge kweli
  I saw her coming out of the clinic, truly frail

[10:57] japo mwanamke jasiri.
  although a brave woman.

[10:59] Maisha ya kijijini yamemsukasuka mpaka
  Life in the village has tossed her around until

[11:02] Kakakamaa. Hata huo upepo wa ugonjwa hauezi moyo wake.
  He laughed. Even that wind of sickness cannot touch his heart.

[11:11] Hili sasa dogo. Ana nini naye? Na amebarikiwa na watoto wenye akili nzuri.
  This is now small. What is wrong with him? And he is blessed with children with good minds.

[11:15] Wote wamehitimu vizuri na kuleta faraja?
  Have they all graduated well and brought comfort?

[11:18] Walishasema baada ya dhiki faraja.
  They had said after hardship, comfort.

[11:19] Yaani faraja ndio zao la dhiki.
  Meaning comfort is the fruit of hardship.

[11:23] Hii leo kikapu cha mama kimejaandago.
  Today, mother's basket is full.

[11:28] Kwa hivyo ameyapitia mengi tena mas pamoja na tabasamu zake.
  Therefore, he has gone through a lot, again, with his smiles.

[11:39] Ninajua amepitia mitihani kama familia yoyote ile ila kila wakati nikikutana naye amejaa tabasamu hata hivi akiwa mgonjwa.
  I know he has gone through trials like any family, but every time I meet him, he is full of smiles, even when he is sick.

[11:51] Huyo ndiye Sara mmoja katika watu waungwana dunia hii.
  That is Sarah, one of the noble people in this world.

[11:57] Sikujua alikuwa na lolote kubwa lililomkaa moyoni.
  I did not know he had anything big weighing on his heart.

[12:03] Nikwambie nini mwanangu?
  Tell me, what is it, my child?

[12:06] Sara ameitwa Tasa.
  Sara has been called Tasa.

[12:08] Wakati mwingine yeye na mumewe wameitwa Wagumba.
  At other times, she and her husband have been called infertile.

[12:11] japo shoka la ugumba lilimwangukia yeye zaidi kuliko mwenziwe.
  even though the axe of infertility fell on her more than her partner.

[12:16] Lakini mama si wana watoto au ndio hiyo unasema hawa watoto si ha damu yao hiyo lakini wameiona baada ya wahodari wa kusema kuwabandika hili na lile vipi hivyo mwanangu
  But mother, don't they have children, or is that why you say these children are not of their blood, but they have seen it after the experts said to label them this and that, how so, my child?

[12:26] wamesemwa mengi siku nyingi kama ilivyo ada ya jamii nyingi za kiafrika
  much has been said about them for many days, as is the custom of many African societies.

[12:49] Yaani asiyejua safari ya Sara na Yona akieleza huona kama vilamu.
  Meaning, one who does not know Sara and Yona's journey, when explained, they see it as a burden.

[12:56] Kwa ufupi Yona alifunga uchumba na Sara hatimaye wakaoana na kuishi vizuri ila
  In short, Yona got engaged to Sara, and they eventually got married and lived well, but

[13:05] milango ya baraka ya watoto ikakawia kufunguka.
  The doors of the blessings of children were delayed in opening.

[13:09] tulivyoafrika m ikawa kuna wale walilolijua tatizo kuliko wenye tatizo kazi ikawa ni kuwasema wakalaumiwa na kusutwa wengine wakanong'ona na kusema faragani.
  As we Africanized, there were those who knew the problem more than those with the problem, the work was to speak of them, to be blamed and rebuked, others whispered and spoke in private.

[13:27] haikuwa rahisi kwao lakini hatimaye Mungu akaridhia mh kwa wakati wake aliouona bora.
  It was not easy for them, but finally God approved, uh, in His own time which He saw fit.

[13:38] Hivyo vilaika vyao vikajaliwa kuwa watu wazima eh na kama kuvifidia vikapewa fikra pevu na bombu za simaku.
  Thus their spirits were blessed to become adults, eh, and as if to compensate them, they were given deep thoughts and bombs of communication.

[13:49] Kweli mwanadamu ulitaka lake hiba.
  Truly, man wanted his gift.

[13:52] Ndio maana ni mwana yaani mtoto hana la kumshibisha wala kumtuliza.
  That's why it's a child, meaning a child has nothing to feed him or calm him down.

[13:56] Ni kama msafiri katika jango.
  It is like a traveler in a desert.

[14:02] Ala kama mtoto vile mwanangu
  Alas, like a child, my child.

[14:07] binadamu ni mchoyo kwa lake lakini mkarimu ajabu kwa la mwenziwe atakukirimu kwa lamenziwe na kukupa nyongeza usiohitaji.
  Humans are selfish for their own but wonderfully generous for their companions; they will host you with their companions and give you additions you don't need.

[14:18] Lakini lake atalizika katika giza la kina cha moyo wake.
  But their own they will hide in the darkness of the depths of their heart.

[14:22] Na ndio hulka yake hiyo mwana waadamu.
  And that is its nature, the son of man.

[14:27] Kwa hivyo waliwasema sana kusema na walisema.
  Therefore they spoke ill of them greatly, speaking and they spoke.

[14:32] Lakini nilivyosema Mungu hamwachi mja wake alijibu sala zao kwa wakati aliouona bora.
  But as I said, God does not abandon his servant; he answered their prayers at the time he saw fit.

[14:40] Wajuaji wakabaki vinywa wazi.
  The knowledgeable remained with mouths agape.

[14:42] Hata afadhali hiyo wazi walivifumba haswa.
  Even that better, that openness, they specifically closed.

[14:46] Na ndio sababu hukulisikia hili mpaka hivi liliponitoka kinywani.
  And that is why you heard this until it came out of my mouth like this.

[14:55] Mwanangu kama ujuavyo binadamu ni kama tumbo hakinaye.
  My child, as you know, a human is like a stomach that is never full.

[15:03] Ai mama hivi kweli tumbo halikinai?
  Oh mother, is it true that the stomach is never satisfied?

[15:06] Likinai wapi? Haljui hata ladha ya kitu.
  Where is it satisfied? It doesn't even know the taste of anything.

[15:10] Roho ndio ukinai.
  The spirit is what sustains me.

[15:13] Naam.
  Yes.

[15:15] Nilikuwa ninasema nasema ulikuwa unasema kwamba hayo hayakuishia hapo.
  I was saying, saying that it did not end there.

[15:22] Ah ndivyo ndivyo hayo kweli hayakuishia hapo.
  Ah, yes, yes, it truly did not end there.

[15:26] Mh baada ya hiyo mvua ya baraka iliyowanyea watu wakaanza tena kusema kuwa hawana mtoto wa kiume.
  After that rain of blessings that befell them, people started again to say that they do not have a son.

[15:36] Kwa nini hilo nalo liwakere mawasidi tu hawana sababu.
  Why should that bother them? The supporters have no reason.

[15:38] Eh alafu upo huo uafrika mwanangu.
  Eh, and then there is that African mentality, my child.

[15:41] Watu waliuliza na wangali wanauliza ardhi ya Yona atarithi nani?
  People asked, and are still asking, who will inherit Yona's land?

[15:50] Kwa hivyo anataka mrithi.
  So he wants an heir.

[15:52] Bila shaka.
  Without a doubt.

[15:52] Eh wajua mwanadamu ni kiumbe cha ajabu sana.
  Eh, you know, man is a very strange creature.

[15:59] Akipata hiki kutamani kile kingine alichokosa kipindi kile jua likija kulia joto kiangazi na vumbi na kuomba mvua.
  When he gets this, he desires that other thing he lacked during that time when the sun came to shine, heat, dry season, and dust, and he prays for rain.

[16:11] nao mvua ikija ulia baridi na tope na
  And when the rain comes, you cry cold and mud and

[16:15] akataka jua yaani sijui kwa nini
  He wanted the sun, I don't know why

[16:20] labda kwa kujipenda
  Maybe out of self-love

[16:23] huenda au labda unyonge na hofu
  Perhaps or maybe weakness and fear

[16:26] hofu ya nini
  Fear of what?

[16:27] ah kila kitu hofu ya jamii hofu ya kesho
  Ah, everything, fear of society, fear of tomorrow

[16:31] hofu ya kusemwa
  Fear of being talked about

[16:33] hofu ya kushindwa haswa
  Fear of failure, especially

[16:34] hofu ya kuonekana dalili
  Fear of showing signs

[16:36] ah mwanangu dunia hii tunaishi katika
  Ah, my child, this world we live in

[16:39] hofu yaani tuna hofu hata
  Fear, meaning we have fear even of

[16:41] tusichokifahamu
  what we don't understand

[16:44] ni kama kamba iliyomfunga ng'omb
  It's like a rope that tied the cow

[16:46] naam tunakwenda tu eh tumekuwa watumwa
  Yes, we just go, eh, we have become slaves

[16:51] wa fikra za wengin
  to the thoughts of others

[16:53] fikra hizi zinatuvuta na kutuburuta bila
  These thoughts pull us and drag us without

[16:57] kufa fahamu hasa nini bora tufanye.
  knowing what is best for us to do.

[17:01] Yaani imekuwa mfano wa kitu na kivuli
  It's like a thing and its shadow

[17:04] chake. Sisi kivuli tumeshindwa hata kuwa
  itself. We, the shadow, have failed to even be

[17:06] kitu chenyewe.
  the thing itself.

[17:08] Ao mwanga uletao kivuli
  Or the light that brings the shadow

[17:10] hapo pa mwanga ni mbali sana. mh
  that place of light is very far. Mh

[17:14] tunalemewa kuwa kivuli
  We are overwhelmed by the shadow.

[17:17] lakini mama haya yote uliyatoa wapi?
  But mother, where did you get all these from?

[17:21] Dunia mwanangu imetufunza sisi wazee wenu.
  The world, my child, has taught us, your elders.

[17:23] Si kama hivi sasa ni vitabu ndio vinategemewa tu.
  It's not like now, books are just relied upon.

[17:28] Eti kama hivyo vitabu havijasema jambo kizazi chenu halikijui?
  So if those books haven't said something, your generation doesn't know it?

[17:38] Ah ulikuwa unasema kero za watu hazikuishia pale?
  Ah, you were saying people's grievances didn't end there?

[17:42] Ah nilikuwa nimesahau kweli hazikuisha kamwe.
  Ah, I had forgotten, truly they never ended.

[17:49] Watu walianza kumtia Yona maneno kuwa lazima apate mrithi.
  People started telling Yona that he must get an heir.

[17:52] wakamtaka awe mke atakayemzalia watoto wa kiume kwa kuwa kwa maneno yao Sara alikuwa ameshindwa kweli
  They wanted her to be a wife who would bear him sons because, in their words, Sara had truly failed.

[18:08] m sijui imekuwaje maanake halikupata kutokea hilo licha ya minong'ono yote iliyokuwepo
  I don't know what happened because that didn't happen despite all the whispers that were there.

[18:12] ila unyanyapaa ulimsukuma yona akaupokea
  but the stigma pushed Yona to accept it.

[18:18] ulevi kwa mikono miwili
  Drunkenness with both hands.

[18:20] nao ukampokea
  And he received it.

[18:22] ninakwambia kwa mikono O yote miwili.
  I tell you with both hands.

[18:26] Wewe umekuwa umempata Yona kipenzi cha maji?
  Have you found Jonah, the beloved of the waters?

[18:28] Hakuwa hivyo.
  He was not like that.

[18:30] Hala.
  Hala.

[18:31] Ah.
  Ah.

[18:32] Alisukumwa huko na wimbi la maneno ya watu.
  He was pushed there by the wave of people's words.

[18:38] Wengine wakamsukuma kutafuta mtoto huko nje kwa kila hali.
  Others pushed him to find a child out there at all costs.

[18:41] mradi tu ni mtoto wa kiume amrithi yeye eti jina lake lisipotee utambi wa ukoo wake usizime.
  As long as it is a son to inherit from him, so that his name does not disappear and the lineage of his family does not die out.

[18:50] Lakini mama eh angalia hawa binti zake Yona sasa wametushinda hata sisi wanaume.
  But mother, look, these daughters of Jonah have now surpassed even us men.

[18:53] Angalia leo hii ingekuwa wewe ndiye mgonjwa maskini mimi sijui ningeshika mti gani.
  Look today, if you were the sick one, poor me, I don't know what tree I would hold onto.

[18:57] Ungeniponyoka kama maji viganjani
  You would slip away from me like water in the palms of my hands.

[19:02] ningekosa hata ufundi wa kuiziba mianya.
  I would even lack the skill to plug the gaps.

[19:09] Ni leo huo ulikuwa wakati huo mwanangu wewe waiona rangi tena rangi ya mwisho ya kinachoelea
  It is today, that was the time, my child, you see color again, the last color of what is floating.

[19:19] kabla kielee kimepigwa shokonja misumeno aina aina eh kimetambaliwa na randa kimestahamili makali ya patasi na kupapaswa na mikwaruzo ya msazi.
  Before the wood was hit by saws of various kinds, it was planed and endured the edges of chisels and was scraped by the scratches of the palm tree.

[19:32] I say hao wametoka mbali.
  I say they have come from afar.

[19:42] Upo wakati hakuna aliyeamini kama wangeliishi pamoja.
  There was a time when no one believed they would live together.

[19:47] pamoja na ulevi wake Yona alianza kumpiga sara kipigo cha mbwa hasa alipokuwa amelewa.
  Despite his drunkenness, Yona began to hit Sara with a dog's beating, especially when he was drunk.

[20:05] Mara kadhaa alimwagilia maji baridi kumrejeshea fumu zake.
  Several times he poured cold water on him to bring back his senses.

[20:14] Kwa nini kichapo chote hicho?
  Why all that beating?

[20:17] Eti hakumzalia mtoto wa kiume.
  It is said that she did not bear him a son.

[20:30] Lakini Mungu ni mkubwa.
  But God is great.

[20:33] amejibu jinsi hii
  He has answered in this way.

[20:35] jibu mwafaka
  A fitting answer.

[20:37] ulimwengu wote kuona
  The whole world to see.

[20:40] wanasema Mungu hatupi mja wake kweli
  They say God truly does not abandon his servant.

[20:43] iliyoje
  How so?

[20:46] waama
  Indeed.

[20:48] mungu si atmani
  God is not a human.

[20:57] mwanangu
  My child.

[21:00] mimi sasa nataka kwenda kwa sara
  I now want to go to Sara.

[21:02] kumsaidia
  To help her.

[21:04] pishi
  Cook.

[21:06] hali yake ile haimwezeshi kufanya chochote
  Her condition does not enable her to do anything.

[21:09] amenitumia salamu niende kumsaidia
  She sent me greetings to go and help her.

[21:13] lakini kwa vile nilikuwa nimebandika sufuria niliona ni heri nimalize upishi wangu sawasawa
  But since I had put the pot on, I thought it best to finish my cooking properly.

[21:18] haya mama wasaidie huko.
  Alright, mother, help them there.

[21:23] Unajua majirani ni wa kufaana
  You know neighbors are for helping each other.

[21:26] kweli wanasema leo kwangu kesho kwako.
  Truly they say, today for me, tomorrow for you.

[21:32] Hii ni safari.

[21:40] Sasa unaweza kutizama filamu zote za

[21:43] setbooks popote ulipo wakati wowote

[21:46] ukitumia simu yako ya Rununu. Download

[21:49] Soma sasa app katika Play Store. Kwenye

[21:51] simu yako ubonyeze play na uendelee

[21:54] kutizama filamu zote za setbooks

[21:56] zikiwemo. Filamu ya bembea ya maisha

[21:59] filamu ya nguu za jadi filamu ya

[22:02] mapambazuko ya machueo filamu ya the

[22:05] samaritan filamu ya fathers of nation

[22:08] filamu ya an artist of the floating

[22:10] world filamu ya parliament of alls na

[22:13] filamu ya silent song and other stories

[22:17] unaweza kutizama hizi na filamu zingine

[22:19] nyingi za masomo. Soma sasa app Masomo

[22:23] mkononi. Tupigie simu kupitia

[22:26] 0722751375.

[22:30] Tembelea tovuti yetu

[22:32] www.climaxpublishers.org.

[22:35] Soma sasa up revision in your hands.

[22:50] >> M hu tayari sasa dadangu

[22:53] >> heri iwe tayari akaandaliwe maanake

[22:56] maswali yake mengi yananitia presha mara

[22:59] mbona.

[23:00] >> Ah sasa yatakoma.

[23:02] Uliponi nilijua umeshinikizwa kweli.

[23:05] >> Ninashukuru kuwa uliniitika

[23:07] nilivyoshtakia kwako.

[23:09] >> Wanawake ni kufaana.

[23:12] >> Najua nimekupagaza mzigo wangu.

[23:15] Bila wewe sijui maskini mwenzio

[23:17] ningepambanya vipi maji yangezidi unga

[23:20] nikabaki kuchekwa.

[23:22] Mungu hamwachi mja wake maana ni shahidi

[23:25] yoyote. Ila daima huishi ndukuduku. Hiyo

[23:29] nao ni kawaida yake lakini inakujuzu

[23:32] uelewe kwamba dunia ni nyumba ya

[23:35] mitihani.

[23:36] >> Japo mine hufanya nywele zikusimame hata

[23:39] kwa kuliwaza tu.

[23:40] >> Dadangu

[23:42] kila limfikalo mwanadamu ni mpango wa

[23:45] maanani. Hao wenye vinywa vichafu usiku

[23:49] watalala. Hapana haja ya kusisimkwa na

[23:52] malaika. Kweli

[23:54] awali nilifanya nongwa mpaka nikaona

[23:56] nautesa moyo wangu nayo haya maradhi

[23:59] yakabisha daktari akanishauri nisiyatie

[24:01] machungu moyuni

[24:03] >> huko ndiko kuvumilia hasa eh tazama

[24:07] faraja sasa imealika kwako.

[24:09] >> Faraja faraja gani na haya maradhi?

[24:11] >> Maradhi si hoja maradhi yenyewe yamekuja

[24:15] kwa wakati wake bora. mh yangetokea jana

[24:19] ile

[24:20] hii leo sijui hata tungesema nini Mungu

[24:24] mwenyewe akufariji na kukusitiri

[24:27] >> amina

[24:30] >> kwa hayo ninashukuru

[24:32] haya maradhi yangenisibu hiyo jana leo

[24:36] singekuwepo

[24:38] naamini utakuona

[24:40] hospitali iliyokupeleka neema nasikia

[24:43] kuwa ina wataalamu hodari wanasema Ema

[24:46] ina madaktari waj kumakinika sana.

[24:49] >> Kweli wanajitahidi

[24:51] mwenyewe nilipotoka hapa mara ya kwanza

[24:53] nilikuwa kibamba mwiko wa pilau.

[24:57] Upo. Kiasi tu ungeniumbisha kama jani

[25:00] kavu wakati wa kipopwe

[25:01] >> ulikuwa umelegea parafujo za mwili.

[25:03] >> Nakwambia

[25:05] >> ganga ganga hizi zinakurejeshea tumaini.

[25:10] aliyosema kuwa wanao ndio mokozi wako

[25:12] wakati wa shida hakukosea.

[25:14] >> Ni kama akiba isiyooza. Mh bora tu ni

[25:18] akiba nzuri.

[25:19] >> Mimi nashukuru kwa hawa walionipa moyo

[25:23] nikitaka zaidi nitakuwa mchache wa

[25:25] shukrani.

[25:26] >> Dina nilisemwa sana na kutokanwa kwa

[25:29] sababu ya hawa wasichana wangu.

[25:30] >> Wewe mwenyewe unajua yote yaliyosemwa

[25:33] hadharani na faragani

[25:36] >> si makanisani si magengeni.

[25:40] Leo nikiviona hivi vitoto vyangu

[25:42] vilivyochekwa na kusemangwa jana

[25:44] vikijiendeshea mambo yao

[25:47] nasikia nimeridhika moyo wangu.

[25:50] Hata sasa nikiitwa nitaondoka nikiwa

[25:53] nimeridhika.

[25:55] Usilie dadangu. Mh. Na hata huko kuitwa

[25:59] usikutie maana.

[26:01] >> Utakosaje kutokwa na machozi?

[26:04] >> Kweli ni kawaida.

[26:07] Wakati mwingine ya huzuni,

[26:09] >> wakati mwingine ya furaha dada

[26:11] >> hapo basi. Eh

[26:14] >> ndio nakuambia kilichobaki sasa ni

[26:17] kitanda kupata mkeka.

[26:19] >> Mola akiridhie.

[26:21] >> Amesharidhia dada.

[26:24] Ala kumbe amechemka kitambo. Eh he hata

[26:27] nilikuwa sina habari jamani

[26:29] >> ni kawaida kupitiliwa wakutana hapo

[26:31] waandani

[26:34] sasa najua karibu atarudi.

[26:36] >> Hivi alikuwa ameenda wapi?

[26:39] >> Hakusema aliondoka tu.

[26:43] alikuwa amekuja kutoka huko kwa wenzio

[26:45] kuangalia chochote akapata mwenyewe

[26:47] nilivyohui hata jikoni halijaona

[26:49] kiberiti

[26:51] na kama tu ilivyo desturi ya wanaume

[26:52] wetu akataka kujua mbona sijaweza

[26:54] kumwandalia chochote

[26:56] >> yaani haoni hii hali yako

[26:57] >> anaona lakini nafikiri malezi na makuzi

[27:01] anamfanya hivo

[27:03] hawa wanaume wetu yaani hawawezi hata

[27:06] kusaidia

[27:08] kupiga makasia chombo kinapopungukiwa

[27:10] upepo

[27:11] >> afadhali cha kukosa upepo hata cha

[27:14] kukumbwa dhoruba lao ni kutazama tu

[27:21] >> wakati mwingine nashindwa hata kuwaelewa

[27:24] >> wenyewe wametufanya hivo

[27:26] malezi na desturi zimewajenga hivyo

[27:28] walivyo na sisi hivi tulivyo. Kazi zote

[27:31] za nyumbani ni zetu.

[27:34] Yaani

[27:37] kwake mtu nyumbani halijui hata chumvi

[27:40] la prekwa.

[27:42] Yeye anajua tu seini, msalani na chombo

[27:47] cha kulala.

[27:48] >> Haya yasiyotarajiwa

[27:51] yajapo tayari mtu ana kilema.

[27:53] Kikubwa japo mzinga viungo vyote anaishi

[27:56] kuwa mgeni wa mambo mengi kwake.

[28:00] Tufanye nini wenyewe tukasukuma vivyo

[28:02] hivyo?

[28:03] >> Hata akifanya atafanya kwa dahari.

[28:06] >> Kwa maana si mazoea. Mazoea huchenga

[28:09] wepesi wa jambo.

[28:10] >> Sijui tufanye nini. Utafanya nini

[28:13] mwenzangu? Dunia ikisikia anakusaidia

[28:15] jikoni eh itasema unashusha hadhi yake

[28:18] na jamii nayo

[28:21] utakuwa unajivunjia nguo

[28:23] >> njia panda kweli hata sijui atafanyaje

[28:26] nikirudi kliniki warudi lini?

[28:30] Naondoka kesho. Mara hii mbona

[28:34] hujanituma kukukatia tikiti? Mama

[28:36] mwenzangu aenda kwa ndege. ndege itoke

[28:39] wapi?

[28:40] >> Ah kama mpaka sasa eh hauna tikiti

[28:44] lazima una namna. mh ama labda kwa meli

[28:49] maanake mimi nasikia siku hizo

[28:50] wameendelea sana hadi wametengeneza

[28:53] magari yanayotembea hewani. Mh labda

[28:56] wamebuni meli ziendazo nchi kavu. Eh

[29:02] >> Neema amesema atanifuata huko yeye

[29:03] mwenyewe.

[29:05] >> M naskia siku hizi ana gari lake.

[29:08] >> Mungu amembariki.

[29:10] >> Ana kigari kidogo hivi.

[29:13] analiendesha mwenyewe

[29:14] >> mwenyewe

[29:15] >> huko jijini

[29:16] >> kote kote

[29:18] >> ehe nasikia jiji lina watu wengi

[29:22] magari mengi barabara nyingi na majumba

[29:26] makubwa makubwa tena mengi yaani mtu

[29:30] akiwa mgeni ni kama msafiri katika

[29:32] jangwa

[29:34] >> mji na hekaheka zake unachanganya

[29:37] nyuma kunafanana na mbele. Ala ninaskia

[29:40] madereva hodari pia wakitoka huku

[29:42] wakifika jijini husalimu amri. Ajabu

[29:45] basi kwamba mtoto wetu amelivinjari na

[29:48] kulijua jiji ama kweli mwanamke ni

[29:51] kujiiamini

[29:55] jamani pole pole. Ahahusababishia

[29:58] taabu unazi kuniimbichi

[30:01] maskini.

[30:16] Mama joto la mwaka huu mji huu una joto

[30:19] utadhani ndio kitovu cha jua

[30:22] >> si hapa tu

[30:24] hata sisi kule shamba tunayapata makali

[30:26] yake. Mimea haina afya

[30:30] inajikunja tu kwa kunyauka. Lo basi

[30:34] mwakani tutakuwa na kipindi kigumu hasa

[30:37] sisi tutegemeo mfuko kwa kila aina ya

[30:39] mahitaji.

[30:40] >> Nususi ya mambo ni kwamba raja siku za

[30:42] mwambo mwanangu. Lakini maadamu

[30:44] ushabaini usifanye hatihati. Hiyo ni

[30:47] safari ya kesho na kama unjuavyo ya

[30:49] kesho huundwa leo.

[30:51] >> Kweli mama wasiowahi sasa ulimaji

[30:54] watawapa wafanyabiashara fursa nzuri ya

[30:57] kuwauzia bidhaa kwa bei ya juu.

[30:59] watawapunja kweli

[31:02] >> mama nawe huishi mizaha

[31:05] >> mizaha gani mwanangu ndio ukweli huo ila

[31:08] tunasema huku tunacheka lakini katika

[31:10] vicheko vyetu zimezikwa kero zetu

[31:13] wanavyosema

[31:15] mungwana hununa moyoni sio usoni

[31:20] >> mama naona umechoka

[31:25] safari hii mwanangu ni maji ya mbizi

[31:28] inataka

[31:30] ikiwa sisi wenye kubebwa hali hii

[31:33] sembuse nyinyi manahodha

[31:35] mtu unakaa siku nzima magurudumu

[31:37] kuchuana na lami unaganda mwili mzima

[31:41] >> nyumbani kweli ni mbali na hapa lakini

[31:43] hatuna budi

[31:45] >> kila zuri ulitakalo ni mpaka ufike hapa

[31:47] mjini

[31:49] kwetu maendeleo bado na yanakuja kwa

[31:52] kudod

[31:54] >> wamesema tangu tukiwa watoto kwamba

[31:56] maendeleo yaja hadi tumekuwa watu wazima

[31:59] tukajaliwa watoto na hao watoto nao sasa

[32:02] wameenda zao wala hamna kubwa

[32:05] lililofanyika

[32:07] kama lipo hilo kubwa ni hizo ahadi kubwa

[32:10] kubwa

[32:12] hayaji wakati wa uhai wetu

[32:14] >> ah mama usiseme hivyo si vizuri kukata

[32:18] tamaa

[32:19] >> tunakatishwa tamaa na hawa tuleteao hao

[32:22] tungeyajuaje

[32:24] >> usemayo yana ukweli wenyewe wana maneno

[32:28] tipe Tepe

[32:30] >> tena hodari wa misemo na nahawana

[32:33] simili kutolewa kwenye misemo na nahau

[32:36] zao hawana siile mwanangu

[32:40] >> eh Bela

[32:42] >> Abe

[32:43] >> chakula bado

[32:45] >> bado kidogo

[32:46] >> muda gani

[32:47] >> ah simu iko tayari ninaandaa mchuzi

[32:50] >> basi fanya hima mama hapa anaanza

[32:53] kutambaliwa na usingiz

[32:54] >> haya hakitachukua mud

[32:58] Bela

[32:59] >> naam

[33:00] >> magharibi imeingia hivi mbona mtoto

[33:02] hajafika

[33:02] >> umesahau wanafanya mazoezi kuna hafla

[33:05] shuleni jumamosi hii usisahau kuhudhuria

[33:10] mambo ni mengi siku hiz

[33:12] >> hata zamani yalikuwa mengi tu

[33:14] >> hasa kwa mwanamke

[33:16] >> ana mengi ya kushikwa na yote anamtaka

[33:18] ayashike sawasawa

[33:19] >> lakini inachosha mama

[33:22] >> kumbuka mrina haogopi nyuki

[33:27] marehemu mamangu alizoea kutuambia kuwa

[33:29] nguvu hazimuishi mwanadamu wala

[33:31] hazimpotei buralizwa

[33:34] tu na mambo kulima hodari libasi yake

[33:37] huwa imechakaa na kuchoka lakini moyoni

[33:40] anabaki safi kama kutosheka natija ya

[33:44] sulubu zake. Huwezi kumlinganisha na

[33:47] mkulima wa nguo safi zilizopigwa pasi

[33:49] zikanyooka. Ha mkulima na nguo safi.

[33:53] Hivi huo utakuwa ukulima kweli?

[33:55] >> Kama utakuwepo utakuwa wa kuulizwa

[33:58] maswali mengi.

[33:59] >> Mm. Tena yasiyo majibu.

[34:02] >> Mwanangu. Umejaliwa watoto ujanani

[34:04] mwako. Usichoke kuwafanyia unaloweza.

[34:09] Wangapi watakao watoto lakini wakakosa

[34:11] kubarikiwa?

[34:12] Watoto ni baraka. Shukuru.

[34:17] Silie mama. Shukuru.

[34:20] Mimi nilitaka watoto lakini kwa siku

[34:23] nyingi haikuwezekana.

[34:26] Mungu alipoyajibu maombi yangu na

[34:28] kunifungulia milango ya heri

[34:33] mliufanya uso wangu kung'aa kwa furaha.

[34:36] Nilijihisi kama mtu aliyeingiwa katika

[34:39] likizo ya afueni.

[34:41] >> Lakini mama baba je

[34:43] >> alifurahia sana?

[34:45] >> Kweli

[34:45] >> kweli kabisa. aliona kama ameangukiwa na

[34:48] nyota ya jaa

[34:49] >> na mbona katufanya vile

[34:50] >> fanyia nini baba yenu

[34:52] >> kugombana kulalamika hiyo kawaida ya

[34:55] wanaume

[34:56] >> ndio lakini

[34:59] ninaona kama baba hakutudhamini hasa

[35:02] wewe

[35:03] >> kawaida ya wanaume

[35:05] >> ah hadi ya kutushikia mkwaju

[35:07] >> nyinyi watoto hamuelewi baba yenu

[35:10] ukiunga vizuri moja kwa moja utatambua

[35:13] kuwa baba yenu alijaribu lakini hati

[35:16] Hatimaye akasalimu amri maana bahari

[35:19] nzima ilimshauri vishindo vya mawimbi.

[35:22] Ilimfanya kusahau kuwa Mwenyezi Mungu

[35:24] amemjaza na mengi. Mwanzo alitaka nyinyi

[35:29] na mlipoanza kuja akaona hana wa kumleta

[35:31] mkaza mwana kama desturi watu nao wakawa

[35:35] wanazungumza. Maneno yao yakawa

[35:37] yanampenya polepole kama maji yanaumenga

[35:40] udogo. Hata siku moja akafanya genge.

[35:45] Ama kweli yalikuwa majo hasa mpaka

[35:48] mwisho. Kitumbua chetu hakikuingia tu

[35:51] mchanga bali kilizidi kuchina kila

[35:55] kukicha. Mawazo yake yaliingia vuta

[35:57] nikuvute. Utahamaki aliachwa amezimia

[36:00] tembo iliyomtia shemeri. Kwa kutaka

[36:03] kukimbia kutiwa vinywani akaangukia

[36:06] sarakasi ya vitembe ya ulevi.

[36:08] >> Aha

[36:10] ndio maana kazi ikaisha.

[36:12] >> Alitelekeza wenyewe wakampiga kalamu.

[36:15] >> Likafuata lindi la mashaka.

[36:17] >> Haikuwa rahisi kutoka kuwa mwalimu wa

[36:20] shule hadi kuitwa mlevi wangu.

[36:23] >> Maskini. pamoja na kero zake. Mara kwa

[36:27] mara nilijua kuwa watoto si nguo za

[36:29] kutungu. Ilibidi nijue namna ya kuishi

[36:32] na mlevi wangu. Mpaka ikafika

[36:34] tukaangusheana mizaha kuhusu hili ambalo

[36:37] awali karibu lituponze roho

[36:39] >> limeshawaponza mama. Ona sasa ulivyo

[36:42] kumbuka alivyoeleza daktari tatizo lako

[36:45] la moyo limesababishwa na vurumai hizo.

[36:49] Kelele siku hadi siku wakati mwingine

[36:52] matusi na kusimangwa.

[36:56] Na maji yalipozidi unga nzirani ikaumana

[36:59] na ngozi.

[37:01] Ona sasa hali yako mama. Usilie

[37:04] mwanangu. Ndivyo ilivyoandikwa.

[37:06] usingempata huyu yumkini ungelia

[37:09] mwingine sasa tunashukuru maana tumeacha

[37:12] maji ya mbizi na kuingia kwenye maji

[37:14] yazi

[37:15] >> lakini kwa nini mama kwa nini iwe ni

[37:18] sisi kwa nini

[37:20] >> mwanangu usitake sana kuhoja lacho kuku

[37:22] utachafuka roho umchukie kuku bur

[37:25] usitake kujua nyuki ameitengenezea nini

[37:27] asali utaila

[37:30] maadamu yameshakuja yapokee mtoto

[37:33] akinyeia kiganja haikatwi wala hatuulizi

[37:36] kwa nini ni maumbile maumbile hayo sawa

[37:40] na vidole hayafanani

[37:43] sawa na watoto wachezao bembea

[37:46] tumeicheza na tungali tunaicheza sehemu

[37:49] yetu kwa zamu high through iwe ya kamba

[37:51] au chuma muhimu ni kwamba tumeshirikiana

[37:55] kusukumana kwenye bembea yetu ya maisha

[37:58] upo wakati inakuwa raha tele na upo

[38:01] wakati inakatika na kutubuaga hiyo ndio

[38:04] raha hasa ya maisha ni sawa na chombo

[38:07] kinachomenyana na mawimbi katika bahari

[38:10] hutufanya kuwa macho katika safari

[38:15] lakini nazo roho huwa ziko juu juu

[38:18] hukosesha raha

[38:20] >> kweli lakini tokea hapo mara moja

[38:23] ikapiga wimbi kali basi sisi uliona

[38:26] wimbi hilo na kusahau mengi mazuri hilo

[38:30] ndio tatizo la mwanadamu nilikuwa nasema

[38:33] nini kuhusu

[38:36] anamba

[38:38] m

[38:39] >> hata bembea ikiwa ya kamba au chuma

[38:41] hatimaye hulika wanasema papo kwa papo

[38:45] kamba hukata jiwe. Bembea inapolika na

[38:49] kukatika haiwi mwisho wa mchezo. Kuungua

[38:53] na mchezo kwanza tena. Hayo ndio maisha

[38:56] mwanangu. Sawa na bembea maisha nayo

[38:59] hulika kinacholika usharikiwa. M haya

[39:02] mama leo umekuwa wakili hodari wa huyo

[39:05] mlevi wako.

[39:08] >> Ndiye niliyejaliwa. Zaidi ya yote

[39:10] amenipa watoto wenye akili na tabia. Kwa

[39:12] nini mtake zaidi?

[39:13] >> Ama kweli mwana Wayungi hulewa.

[39:16] >> Kama Wayungi hulewa seunze wa binadamu.

[39:22] Ah ukipenda roho huna nyama mbichi.

[39:43] Abela

[39:44] >> Abel

[39:45] >> umenishtua mpaka mikono inatetemeka kama

[39:48] lumbu mwendoni. Haya pole. Akili zako

[39:51] zilikuwa mbali huko?

[39:54] >> Zenyewe zina wayawaya. Katika umri huu

[39:57] tuna mengi ya kufikiri.

[39:58] >> Maisha ya sasa hayana fundi.

[40:01] Yanamwendesha kila mtu kama tawi

[40:03] lililosukumwa hadi likang'oka kutoka

[40:06] tagani na kupeperushwa na upepo.

[40:08] Tukisema ni umri tutakuwa tumeusingizia.

[40:11] Ulimwengu wa sasa haubagui wadogo kwa

[40:15] wakubwa, matajiri kwa maskini, wazee kwa

[40:19] vijana, waajiri kwa waajiriwa, wenye

[40:22] ajira na wasiokuwa nayo. Hao wote

[40:26] ukisikiza sauti zao ni sauti za kilio.

[40:31] Ah vipi leo? Mbona kimya hivi? Ah

[40:35] >> mtoto ameshalala. amekula

[40:38] >> tena vizuri sana lakini leo amekuja

[40:40] akiwa mchovu nafikiri wamecheza sana

[40:43] >> walikuwa wanacheza au walikuwa wanafanya

[40:46] mazoezi ya nyimbo kwa ajili ya siku ya

[40:48] wazazi shuleni

[40:49] >> walikuwa wanaimba na wanacheza vile

[40:52] vile. Si unajua nyimbo za siku hizi

[40:54] mpaka warukeruke sio kama zamani.

[40:56] >> Kwani unazijua?

[40:58] >> Eh nazijua sana. M basi naye Leni

[41:01] akitoka skuli kabla ya chochote mpaka

[41:04] aje anionyeshe miondoko na minenguo

[41:06] aliyofanya shuleni. Anajua kucheza.

[41:09] >> Anacheza vizuri na pia huimba vizuri.

[41:13] >> Ah mashallah. Na mbona hajapata

[41:15] kunionyesha?

[41:16] >> Nyakati zenu zinapitana.

[41:19] Ukija wewe yeye ashalala. Ukiondoka

[41:22] asubuhi bado yeye anatungua lepe la

[41:24] usingizi.

[41:25] >> Kazi hizi nazo ni kama safari ya hera.

[41:29] Mwisho wake hakuna mwenye habari nayo?

[41:32] Basi imekuwa mfano wa gurudumu kwenye

[41:34] gari la masafa marefu. Lenyewe hilo

[41:38] linasukumwa tu. Linavingirishwa bila

[41:40] kupenda. Halina hiari wala mhitari. Kazi

[41:45] yake kumenyana na ardhi. Si pa jua si pa

[41:49] mvua. Haijalishi kama kuna miba au mawe.

[41:54] Kwake mwendo ni wajibu. Yaani hata

[41:57] likachomeka haliwezi kufumua moto.

[42:01] Ndivyo maisha yetu yalivyo. Tunaendeshwa

[42:04] kama tiara.

[42:06] Upepo unatupiga tukiwa hewani. Huku

[42:09] mshika kamba kule chini anaona raha kwa

[42:11] sisi kuyumbishwa yumbishwa.

[42:14] >> Ndio maisha hayo. Usipoyumbishwa unakaa

[42:17] mjinga. Huwezi kuvuta fikra.

[42:20] Adha wanasema ndio chanzo cha uvumbuzi.

[42:23] >> Lakini maskini mwanangu hatuonani.

[42:25] Ninamuona tu akiwa usingizini. Sisemi

[42:29] naye sili naye

[42:32] sichezi naye. Ah uzazi gani huu sasa?

[42:36] Haifai kujihurumia wala kujililia. Wewe

[42:39] shukuru tu una hicho kibarua na kwamba

[42:41] unaenda na unarudi kumuona japo akiwa

[42:44] usingizini. Mimi nimeishi kufanya kazi

[42:47] siwaoni wanaangu mpaka sasa wamepevuka

[42:50] wamekuwa watu wazima na leo hii wote

[42:52] wako na mako. Dunia ya sasa sio kama ya

[42:55] zamani. Mambo mengi yanatuendesha badala

[42:58] ya sisi kuyaendesha.

[43:01] Hatuna hiari.

[43:02] >> Maisha ya siku hizi si kama maji ya

[43:05] kunywa. Yana mashaka tumbe mzima.

[43:08] >> Hasa kwa sisi wenye asili ya madongo

[43:09] kuinama ni kama miti michanga kwenye

[43:12] chaka la miti mikubwa mirefu. Unaishi

[43:14] kutapia hewa na jua. Unajitahidi kutoa

[43:18] shingo kila wakati kuung'ang'ania mwanga

[43:21] huo. La sivyo utadumaa.

[43:24] Ha ilivyonyesha leo huko hakuna mafuriko

[43:27] nje.

[43:28] >> Si sana kidogo tu. M

[43:31] >> si ajabu kwamba umerudi mara.

[43:33] >> Upo msongamano kidogo. Ningemwahi huyu

[43:36] kabla lali. Madereva wa humu jijini

[43:39] huingia kimuye mueuye waonapo tone la

[43:41] mvua. moja kwa moja utazuka msongamano

[43:45] pasi na sababu

[43:46] >> maana magari mengi ni kachara tu

[43:48] unadhani unapanda gari kumbe ni kebe la

[43:51] mabati yaliyoundwa na kupakwa rangi mara

[43:54] nyingi sisi abiria hupanda rangi badala

[43:56] ya gari

[43:58] >> kweli eh ila ninashukuru nimemfikisha

[44:02] mama salama na nikarejea salama na kwa

[44:05] wakati

[44:06] >> umempeleka wapi

[44:07] >> kwa dadangu asna

[44:10] >> hivi alikuwa na dharura gani angesubiri

[44:12] hadi kesho ukampeleka

[44:13] >> hata mimi sielewi.

[44:15] >> Ungemwacha mwenzangu tukapiga gumzo wala

[44:18] usiku ukawa mfupi. Ile siku alipokuja

[44:21] ulimtoa mara moja. Leo nilifikiri atakaa

[44:24] kidogo.

[44:27] Ah Mungu wangu huyu naye na maneno ni

[44:31] mpaka alizamia jambo ana taarithi

[44:33] sifani. Sina budi kumueleza mila hizi

[44:37] zinatofanya watumwa. Wazee wangu

[44:39] hawawezi lala kwa mkwe wao.

[44:42] >> Hayo ni ya kale na ya kale haanuki.

[44:45] Wengi hawafuati hizo mila tena.

[44:48] Walimwengu wanavaa sari moja.

[44:51] Ah si neno.

[44:53] Nitajitahidi kumshawishi siku nyingine

[44:55] akae. Ninajua katika umri wenu mna mengi

[44:58] ya kupashana.

[44:59] >> Nitafurahi sana.

[45:02] Ndio tamati

[45:04] tumeiaga siku.

[45:08] Ah B kesho nitaondoka mapema. Jogo wa

[45:12] kwanza akiwika uwe umeanza maandalizi.

[45:15] Kwa hivyo jihibu. Mh.

[45:17] >> Kawaida huo ndio wakati wangu. Usitie

[45:19] shaka kila kitu kitakuwa tayari.

[45:22] >> Haya twende tukavipumzishe viungo.

[45:31] >> Kwa miongozo mizuri ya kina. Mwongozo wa

[45:34] bembea ya maisha. mapambazuko ya

[45:36] machweo, ngu za jadi parliament ofs

[45:40] artist of the floating world fathers of

[45:42] nations, the Samaritan na silent song

[45:45] and other stories. Sisitiza miongozo ya

[45:48] Climax 3 in one. Miongozo ya Climax 3

[45:51] in1 imeandikwa na walimu wenye tajiri

[45:54] mapana katika kufunza na kutahini

[45:56] mtihani wa kitaifa yaani KCS. Miongozo

[46:00] ya Climax 3 inone ina vijitabu vitatu

[46:04] ndani ya jalada moja. Kitabu cha kwanza

[46:06] ni ushauri kwa mwanafunzi kuhusu jinsi

[46:09] ya kukabiliana na maswali ya Kiswahili

[46:12] ya KCSC karatasi ya kwanza, karatasi ya

[46:15] pili na karatasi ya tatu. Pia kitabu

[46:18] hiki kina maswala ibuka pamoja na siri

[46:21] za utahini. Kitabu cha pili ni mongozo

[46:24] wenyewe wa kitabu husika. Kitabu cha

[46:27] tatu kina maswali maridhawa na maajibu

[46:30] mwafaka. Vitabu vya Climax 3 in1

[46:33] vinapatikana katika maduka yote ya

[46:36] kuuzia vitabu kote nchini kwa bei nafuu

[46:38] sana. Kumbuka vitabu vya Climax 3 inone

[46:42] ndio vitabu pekee vilivyo na vitabu

[46:45] vitatu ndani ya jalada moja. Vitabu

[46:47] vingine vya Climax 3 in1 ni kama vile

[46:51] Climax 3 in1 ina kamilifu. Climax 3 in1

[46:54] fasihi simulizi kamilifu. Climax 3 in1

[46:58] sarufi kamilifu. Climax 3 in1 mwongozo

[47:01] kamilifu wa ushairi climax 3 in1 marudio

[47:04] kamilifu ya kiswahili. Vya kiingereza ni

[47:08] kama vile climax 3 in1 a guide to

[47:10] mastering kcs poetry. Climax 3 in one, a

[47:14] guide to mastering KCSC oral literature.

[47:17] Climax 3 in one, a guide to mastering

[47:19] KCSC composition writing. Climax 3 in

[47:22] one, mastering English paper one. Climax

[47:25] 3 in one, mastering English paper two.

[47:27] Climax 3 in one, your ladder to academic

[47:30] excellence.

[47:32] Did you know the 844 curriculum

[47:34] underwent significant change in the year

[47:37] 2006?

[47:38] That's when the syllabus changed. Pocket

[47:41] positives, the best pocket size high

[47:44] school KCSE revision books currently in

[47:47] the market. Pocket positives, a

[47:49] compilation of the past KCSE exams

[47:53] arranged topically and formwise from the

[47:55] year 2006 to the present.

[47:59] Pocket positives, the most update

[48:01] revision books with the most updated

[48:03] trends in setting and marking KCSE

[48:07] exams. Pocket positives, pocket size,

[48:09] pocket friendly.

[48:12] Call us on 0722751375

[48:17] or 072579271

[48:21] or visit our website

[48:23] www.climuspublishers.org

[48:25] climuspublishers.org

[48:27] or download our somasasa app Pocket

[48:30] Positives your best revision partner.

[48:42] >> Mama Lemi

[48:43] >> be

[48:45] >> Lemi bado hajaamka. Bado ni mapema baba

[48:47] Leni mtoto.

[48:49] >> Ahah. Mapema gani? Sisi hatukuwa hivo?

[48:51] Eh mapema inasija

[48:54] kuamka akishapambauka atapata wenzake

[48:56] wameenda nayo. Kumbuka afikaye kisimani

[48:59] mapema hunywa maji mae.

[49:01] >> Lakini kitoto chenyewe hiki bado kidogo

[49:04] kikijanjaruka hakitakuwa na budi ila

[49:06] kurauka. Hivi alivyo hata hajui maana ya

[49:10] sudi mume wangu.

[49:11] >> Haya mdekezi upendavyo

[49:13] >> wala simdekezi

[49:15] >> ipo siku utakuja kujua kuwa samaki

[49:18] hukunjwa ngali mbichi.

[49:20] >> Masomo yake vipi?

[49:22] >> Hakufanya vibaya katika mtihani

[49:24] uliopita.

[49:25] >> Kwa maana gani?

[49:26] >> Ana alama nzuri kuliko mtihani ule

[49:28] mwingine.

[49:28] >> Alishika nafasi gani?

[49:30] >> Ya 20.

[49:31] >> 20?

[49:32] >> Naam.

[49:32] >> Hafu unadiriki kusema ati alifanya

[49:34] vizuri?

[49:35] >> Ndio. Alama.

[49:36] >> Ah. Ah eti alama alama my foot eti eti

[49:40] ameshuka nafasi darasani lakini

[49:42] akapandisha alama

[49:43] >> alama ndizo muhimu.

[49:45] >> Afadhali angepunguza alama lakini

[49:48] akapandisha nafasi darasani.

[49:49] >> Lakini

[49:50] >> ahah hamnacha. Lakini nimechoshwa na

[49:53] hizo DP zako za alama kupanda. Eh

[49:56] sizitaki tena. Wewe hutaki kuona kuwa

[49:59] mwanao anazidi kupitwa na wenziwe

[50:01] darasani. Eh kila tukizungumzia hili

[50:05] unakuja hizo hadithi zako za alama

[50:07] zipotelee pote. Huyu sasa ashakuwa

[50:10] mbumbumbu wa kutupwa

[50:13] wala huoni kuwa mchele umeingia mchanga.

[50:15] Wewe.

[50:15] >> Poa moto baba Lemi mimi ninaona mtoto

[50:18] amejitahidi kuboresha alama japo kweli

[50:21] hakushika nafasi nzuri kama awali. Juu

[50:24] ya yote mtoto anaendesha mambo yake kwa

[50:27] udhu na adabu. Mara ngapi ametuzwa kwa

[50:30] kuwa kubeli? Sisi tunajaribu kadri ya

[50:33] uwezo wetu. Lakini Mungu naye hutoa kwa

[50:36] kiasi.

[50:37] >> Kila tukizungumzia swala hili nzito

[50:39] unarudi tu pale pale tu kwa majaliwa.

[50:42] Mh.

[50:42] >> Sasa umemalizia kulea unyonge.

[50:44] >> Ah ndio nifanye nini? Mimi mwenyewe

[50:48] sikuwa mnyonge. Ninajua maana ya bidii.

[50:51] Lakini vile vile ninajua kuwa bidii

[50:53] pekee yake haifaulishi kila jambo.

[50:56] >> Haya sawa mi naondoka.

[51:00] >> Umekunywa chai?

[51:03] >> Ah nilishapata kiamshakinywa kitambo.

[51:06] Ninataka niwahi kabla ya msongamano. Ah

[51:09] tumekuwa na kazi nyingi afisini.

[51:12] Ninajua hiki ni kipindi kigumu.

[51:14] Mashirika yanapunguza wafanyakazi.

[51:15] Ilhali kazi ni ile ile. Kwao bora punda

[51:19] afe mzigo ufiki.

[51:21] >> Tumekuwa chambo siku nyingi sasa.

[51:24] >> Baba Lemi

[51:26] kuna jambo ninataka kukupasha.

[51:30] Mama hana hali. Unavyojua mama yuko

[51:34] mjini.

[51:35] Ninaomba tumtilie pondo angalau

[51:37] aangaliliwe na madaktari vizuri.

[51:39] >> Neema nilikwisha kukuambia mizigo yangu

[51:42] ya majukumu ni mingi.

[51:44] >> Ninajua lakini ujuavyo maradhi hayafai

[51:48] kuwekwa. itakuwa ni kuyafuga na madhara

[51:53] yake yatakuwa yanazidi.

[51:55] >> Ema unafahamu kuwa nimechukua mkopo wa

[51:58] benki kuijengea hii nyumba? M

[52:01] >> mkopo huo hunipi amani?

[52:04] Ninahangaika kuilipa.

[52:07] Wewe mwenyewe ulikazana tumpeleke Mina

[52:10] kwenye boarding school sio? Tena ya

[52:12] gharama pesa nyingine nitatoa wapi?

[52:15] >> Bu mtoto wa kwanza anafaa kusomea shule

[52:18] ambayo inatia matumaini. Fahari iliyoje

[52:21] kumsomesha mtoto kwa shule ambaye

[52:23] haikupi wasiwasi. Mh.

[52:26] >> Majukumu yangu kwenu nimetimiza.

[52:30] Je sinunui chakula?

[52:33] >> Unanunua bila shaka.

[52:35] >> Mavazi

[52:36] >> tunayo.

[52:37] >> Si hivi juzi nimekunulia gari?

[52:39] >> Naam.

[52:41] >> Mbona mchache wa fadhila? Eh mimi

[52:44] nilikueleza kuwa mizigo ya familia yangu

[52:47] inanitosha kunishughulisha.

[52:50] Ah wenyewe hivi wananiumbisha kila

[52:52] mahali zaidi ya hapo siwezi

[52:56] ningependa lakini siwezi

[52:58] >> jamani.

[52:59] >> Ah ah wewe sema yako ya kuwazima lakini

[53:02] hiki kidevu changu hilo mimi simo. Ah

[53:06] mshara wako sikuombi utakavyoupangia ni

[53:09] heri yako. Nimekununulia gari jipya

[53:12] kabisa.

[53:14] Shughuli utakazolipangia ni maamuzi

[53:16] yako. Wewe si kama wale wanawake ambao

[53:19] hawana wakazi wala bazi. Tangu hapo

[53:22] nimekupa hii kibali kuinua familia yako

[53:25] kwa huo mshahara wako. Sio ah sijateta

[53:29] wala kununua. Majukumu unayofaa

[53:32] kuyatekeleza nimejitwika mimi ili uweze

[53:34] kuziba nyufa. M kwa bahati nzuri wewe

[53:38] una kazi.

[53:40] Unaweza kuelewa changamoto za mishahara.

[53:44] Mimi ninaelewa kuwa licha ya kiticha cha

[53:46] pesa unachonipwa kila mwezi eh bado

[53:50] unajikuta mihitaji maana majukumu ni

[53:52] mengi.

[53:54] Mh.

[53:56] Kumbuka nilikuachia mshahara huo

[53:59] ukamsomesha Asna mpaka ana digree yake.

[54:03] Ingawa bahati ajira haijamfungulia

[54:05] milango Salome naye nimemlipia karo

[54:07] shule ya upili na chuoni. Kwa bahati

[54:09] nzuri masomo yamemtwika akapita vizuri

[54:12] na hiyo first class.

[54:15] Ameishi nasi akisoma hadi pale

[54:18] alipobahatika kupata ufadhili kwenda

[54:20] kuendeleza masomo yake ng'ambo. Katika

[54:23] hayo yote mimi ninajitahidi kukuelewa.

[54:27] Ingekuwa furaha iliyoje kama mimi vile

[54:30] vile ungenielewa.

[54:32] Haya yote yamenielewa. Safi basi mimi

[54:36] nilikwisha kueleza tangu hapo mipaka ya

[54:39] mahusiano yetu. Wewe unafahamu fika

[54:42] katika nyumba hii siwezi kukaa na wazazi

[54:45] wako au wangu. Itakuwa ni laana hiyo?

[54:49] Ema mila na desturi zetu zina mahali

[54:52] pake. Hata mama analielewa hilo.

[54:56] Hata wazazi wangu walipokuwa hai

[54:58] hawakuwahi kuja kuishia hapa kwangu.

[55:00] >> Lakini ni kwa sababu wewe ni kitinda

[55:01] mimba. Safari zao ziliishia kwa wakubwa

[55:05] wako. Unasahau kwamba mimi ndiye mkubwa

[55:08] kwetu na safari nyingi zitaishia kwangu.

[55:11] >> Na umesahau kuwa huyo mkubwa wangu

[55:13] umsemaye ana chumba cha wageni mbali na

[55:15] nyumba yake? Mh. Hata wazazi wangu bado

[55:18] wangekuwa hai wasingeridhia kuja kulala

[55:21] hapa kwangu. Ndio mafundisho ya mila

[55:24] zetu.

[55:25] >> Bunju. Mila gani hizo? Hazina thamani

[55:29] wala nafasi katika hii dunia ya leo.

[55:32] Wapo wazazi wengi wanaoishi na watoto

[55:34] wao kwa nyumba moja. Tena ndogo tu Bju.

[55:37] >> Hata tukijadili hili siku mzima maneno

[55:41] hayo hayataniingia. Heri niwahi.

[55:44] >> Haya.

[55:59] Mam.

[56:01] >> Ahy mwanangu kumbe umeamka?

[56:05] >> Nimeamka mama.

[56:06] >> Umelalaje?

[56:07] >> Vizuri

[56:09] >> wewe je?

[56:10] >> Vizuri mwanangu.

[56:11] >> Ma mbona huna raha? Nani amekukosea?

[56:14] >> Hamna kitu.

[56:16] >> Niambie tu.

[56:17] >> Hakuna chochote kibaya jana. nilifanya

[56:20] kazi nyingi nimechoka tu.

[56:23] >> Walikuja watu wengi afisini.

[56:26] >> Naam. Wateja wetu ni wengi.

[56:28] >> Wanakuja kununua kompyuta?

[56:30] >> Ndio wanakuja kununua kompyuta.

[56:32] >> Kwa nini wanakuja kukuchosha?

[56:35] >> Hawaji kunichosha. Wanakuja kwetu kwa

[56:38] sababu kampuni yetu ndio nzuri zaidi.

[56:41] >> Oh kwa hivyo

[56:43] >> haya yatoshe mwanangu. Maswali yako

[56:46] najua hayaishi.

[56:49] Sasa twende ujitayarishe kwenda skoli.

[57:29] Maisha mjini

[57:31] >> yana nini mama?

[57:32] >> M afadhali sasa ya kijijini.

[57:36] >> Eti kijijini

[57:40] >> adha zote hizi hamna. Eh na tuna

[57:42] matatizo yetu lakini

[57:43] >> basi afadhali hapa kule kijijini unakaa

[57:48] huna kazi wala chochote.

[57:50] >> Hapa mnaishi kama mchugu mh tazama

[57:53] chumba hiki. Eh

[57:56] mwanangu hiki ni kizimba cha kukule

[57:59] nyumbani.

[58:03] Sasa utajibana hapa ndani mpaka lini?

[58:07] >> Wewe cheka tu.

[58:09] Eh niache nicheke mama hii servant

[58:13] quarter inanitosha

[58:15] kwanza mtaa huu sio kila mtu anaweza

[58:17] kuuishi

[58:19] chumba hiki kinaonekana kidogo lakini

[58:23] kodi yake inalipiwa sawa na nyumba ya

[58:27] vyumba viwili katika mitaa mingine

[58:30] kijijini nitarudi na elimu yote

[58:32] niliyopata watu watashangaa

[58:34] >> Asna msafiri

[58:37] kafiri angoa Tajiri

[58:39] >> mama afadhali umaskini huu kuliko kurudi

[58:42] kijijini kwenye umaskini wenyewe.

[58:44] >> Usisahau kuwa maskini mtu kwao. Uenini

[58:47] si kitu chema. H mwanangu. Si afadhali

[58:51] hayo kuliko haya anayofanya hudhia.

[58:53] >> Mama mimi nitafuatana nayo pacha pacha

[58:57] sawa na mbwa na msasi mpaka tuliangushe

[59:00] windo.

[59:00] >> Mwanangu. Wakati mwingine mwindaji huwa

[59:03] mwindwa.

[59:05] Hata kijijini wanaishi watu. Watu wao

[59:08] hawakwimbwi na thiki kiasi hiki ya nini

[59:11] kung'ang'ana kutafuta maisha kama

[59:13] hayapiti. Maisha ni mshumaa usomkesha.

[59:16] Ukijiachia sana peupe hata upepo unaweza

[59:19] kuuzima kabla ya kulika hadi nchai.

[59:22] >> Mama mgeyafuata hayo msingefikiria

[59:25] kutupa elimu.

[59:27] Hiyo taabu mliyojipa kutusomesha ina

[59:30] faida gani kama twarudi kule vijijini na

[59:32] kushika mayote yule?

[59:35] Maisha ni kujaribu kwa kina sisi

[59:37] Mahuluku taabu.

[59:39] Sawa na mtu aliyetapat mafuriko.

[59:43] Lazima kushikilia chochote na popote

[59:46] mradi upate kusalimika.

[59:49] Usalama gani huu una dhiki hizi zote?

[59:51] Mwenyewe na ulivyokonda kama ng'onda. Eh

[59:55] mtoto hutulii daima uko mbioni lakini

[59:58] nitija yake haba.

[01:00:01] Pamoja na unyonge wangu mkononi mwangu

[01:00:04] ulinionyesha afya japo ulikula mchicha

[01:00:06] wa kuchemshwa kwa chumvi na sema baridi

[01:00:10] walau vilishika tumbo vikakupa siba na

[01:00:13] sura

[01:00:19] H

[01:00:47] elewi mama m zilikuwa zama hizo yaani

[01:00:53] Helewi mama m zilikuwa zama hizo yaani

[01:00:53] zilizopendwa

[01:00:54] sura ya leo ni hii wengi wanang'ang'ana

[01:00:58] kukuwa hivi lakini wameshindwa

[01:01:03] eh watoto wa siku hizi wajinga kweli.

[01:01:06] Mnang'ang'ana kuwa vifyefi eti ndio

[01:01:08] urebo huo njaa tupu. Wewe hujui

[01:01:12] tunavyopendeza.

[01:01:13] Kwanza nikitoka kibandani humu mwangu mh

[01:01:16] kule nje mtu huwezi kujua ninaishi vipi.

[01:01:19] Wanajua tu nimetoka kwenye mtaa wa

[01:01:21] kifahari.

[01:01:22] >> Kama huko ndio kupendeza basi niletee

[01:01:25] mtu akaninunulie leso kabla sijafa.

[01:01:27] >> Ah nawe mama eti leso. Leso

[01:01:30] nitakununulia mwenyewe

[01:01:31] >> yako sitaki nataka ya mume wa mwanangu.

[01:01:36] >> Kwa hiyo ni bunju hajakunulia

[01:01:37] >> ya bunju haitoshi na. Ah ah si useme tu

[01:01:40] ya kwamba bunju ni mkono Birika

[01:01:42] >> hata kidogo.

[01:01:44] >> Ndio

[01:01:45] >> huelewi wewe mghalamu na haki yake umpe.

[01:01:50] >> Haya karibu Uji.

[01:01:52] >> Asante sana mwanangu.

[01:01:54] >> Ulikuwa unasema eti sielewi.

[01:01:56] >> Eh huelewi

[01:01:58] >> ninaelewa sana.

[01:01:59] >> Hata kidogo. Bunju ameshanua leso yake

[01:02:04] nikaivaa mpaka ikazeeka. Maana yake ni

[01:02:07] nini? Maana yake ni kwamba gari

[01:02:09] ikishakwenda kwa geia fulani huhitaji

[01:02:12] ibadilishwe nyingine. Huwezi kurudia

[01:02:15] geia ile ile gari hupiga resi tu.

[01:02:20] Sikujua tuna mtaalamu wa magari.

[01:02:22] >> Usicheze na akili zangu hizi. Elimu ndio

[01:02:25] sikupata sawasawa. Siku zetu elimu ya

[01:02:28] wasichana ilifanyiwa bezo. Mimi

[01:02:30] niliachia darasa la saba.

[01:02:32] >> Haya nimesikia. Ah umesikia nini?

[01:02:37] Umenishtua

[01:02:38] >> muoga kama kunguru

[01:02:41] >> nilijua tu utasema hivo. Ah

[01:02:44] >> habari za asubuhi

[01:02:45] >> nzuri.

[01:02:46] >> Shikamoo mama.

[01:02:47] >> Marahaba mwanangu. Je umeamkaje?

[01:02:49] >> Salama

[01:02:50] >> huyo mume wangu je

[01:02:51] >> hana neno

[01:02:53] >> mwanangu Bunju hajambo.

[01:02:54] >> Hajambo

[01:02:55] >> haki wewe na huyo Bunju.

[01:02:57] >> Ni lazima amuulizie. Hata mimi sielewi.

[01:03:00] >> Wako wakija pia nitamuulizia hali yake.

[01:03:03] >> Haya dada umesikia habari ndizo hizo.

[01:03:06] >> Maisha hayo ya kuzungushwa kichwa

[01:03:09] siyawezi mimi.

[01:03:10] >> Miaka nayo inaenda.

[01:03:11] >> Sasa kichwa hicho unataka kisizunguke?

[01:03:15] Kikae pale pale ndio ujue ni kichwa.

[01:03:17] Kichwa kazi yake kuzunguka. Mh.

[01:03:21] Kulitafuta lisilozungushwa kichwa ni

[01:03:23] kama kuinda hewa kutaka kuifumbata

[01:03:26] kwenye konzi.

[01:03:30] Ah asante dada nishakunywa.

[01:03:32] >> Oh haya

[01:03:35] >> mimi nikipata bunju wangu

[01:03:38] si nitakuwa nalia mpaka nikimbizwe

[01:03:41] hospitalini kuongezwa machozi.

[01:03:46] >> Wewe huishi vituko nawe? A

[01:03:48] >> ah hapana vituko hapa.

[01:03:51] Mimi hushindwa tu nyumbani pakigeuka

[01:03:54] kambi ya jeshi. nitafanyeje?

[01:03:56] Amri si amri, masharti si masharti mh

[01:04:00] maisha hayo huwataka kina neema wajuao

[01:04:03] kusali kuumba ng'ombe halemewi na nuyui

[01:04:08] geza geza ndio mji.

[01:04:10] >> Unajua asna anafikiri kuna watu

[01:04:12] waliokamilika safi kama pamba. Ah

[01:04:16] aliyekamili malaika tu.

[01:04:19] Msifanye makubwa wanangu. Bunju amefanya

[01:04:23] sehemu yake. Isingekuwa yeye kuingiwa

[01:04:25] imani labda leo hii neema asingekuweko

[01:04:29] ajali ile ilikuwa mbaya. Majeruhi

[01:04:32] walihitaji muda wa kutunzwa. Umeona wapi

[01:04:35] mtu usiyehusiana naye kwa damu wala

[01:04:38] usaha kufanya aliyofanya bunju? Mh tena

[01:04:42] mtu asiyekujua

[01:04:44] wala hajapata kukutia jicho mpita njia

[01:04:47] na shughuli zake si ni malaika huyu kana

[01:04:51] kwamba umalaika una ngazi aliuzidisha

[01:04:54] kwa kulipa gharama za hospitali agalabu

[01:04:57] buju hana ngoma hana maulidi lakini

[01:05:00] mwenyewe hatoi maneno yasiyoladha wala

[01:05:02] murua

[01:05:03] >> lakini mama

[01:05:04] nyumba yote hiyo nafasi yote hiyo anaona

[01:05:08] muhali wewe kulaza ubavu wako humo wewe

[01:05:11] uliyempa binti

[01:05:13] >> tena binti mwenye kisomo si haba digri

[01:05:16] mbili ni mchezo

[01:05:19] >> basi kama huo ndio umalaika haufai pesa

[01:05:22] mbili ni shemeji yangu lakini ushemeji

[01:05:26] una thamani ukiwa na udug

[01:05:28] >> hata mimi hilo huniuma sana lakini

[01:05:30] nifanye nini hulazimika mara kwa mara

[01:05:33] kuwinga moyo wangu kila mara

[01:05:36] hujikumbusha kuwa mnyonge msungi

[01:05:39] ila ninashukuru aliutetea uhai wangu

[01:05:43] >> ndio uwe mtumwa wa jana

[01:05:44] >> sio utumwa ninajitahidi kuishi kwa

[01:05:47] kutambua kuwa jana yangu kama ilivyo leo

[01:05:49] ni muhimu kwa mustakabali wangu

[01:05:51] >> walau nimeachiwa upenyo wa kutumia

[01:05:53] mshara wangu nitakavy ninachotaka kwa

[01:05:56] sasa ni kuutumia kwa ajili ya matibabu

[01:05:58] ya mama si neno atalala wapi au atakosa

[01:06:02] kulala wapi?

[01:06:04] >> Afya ya mama ikiimarika nina hakika hayo

[01:06:07] yote yataenda na upepo.

[01:06:09] >> Wanangu siku zote paka nyumba hawingwi.

[01:06:13] Msimuone huyu Bunju kama mume na shemeji

[01:06:16] yenyu. Ni ndugu yenyu pia.

[01:06:19] Nyote ni wanangu. Si Bunju na Neema

[01:06:22] wametujengea nyumba huko kijijini.

[01:06:24] >> Lakini mama

[01:06:24] >> hamna cha. Lakini mnataka nilale wapi?

[01:06:27] Kwani hamna aibu?

[01:06:28] >> Mama si vibaya wewe kulala kwangu.

[01:06:30] >> Mila mila ina pahali pake

[01:06:33] >> dunia imebadilika ya zamani yamepita.

[01:06:35] >> Dunia yenyu hiyo sio yangu.

[01:06:39] >> Nilijua tu utaangusha kombora.

[01:06:41] >> Acha alipiganie alipendalo yeye na bunju

[01:06:45] ni chanda na pete.

[01:06:46] >> Ah kumbe muda umesonga sana. Jamani

[01:06:49] tuondoke tumwahi daktari akakutazame

[01:06:52] mama. tukichelewa tutapata ameenda

[01:06:54] kwingine. Kazi hizi za daktari siku hizi

[01:06:57] ni za kuchupa kutoka hospitali moja hadi

[01:06:59] nyingine.

[01:07:02] >> Haya tuondoke lakini tufahamu kuwa mambo

[01:07:05] ya nyumba kunga makuti ya kuungaunga.

[01:07:08] >> Ujumbe umefika mama. Haya tuondoke. Ah

[01:07:21] sasa unaweza kutizama filamu zote za

[01:07:24] setbooks popote ulipo wakati wowote

[01:07:27] ukitumia simu yako ya runununu.

[01:07:29] Download. Soma sasa app katika Play

[01:07:32] Store kwenye simu yako ubonyeze play na

[01:07:34] uendelee kutizama filamu zote za

[01:07:37] setbooks zikiwemo filamu ya bembea ya

[01:07:40] maisha, filamu ya nguu za jadi, filamu

[01:07:43] ya mapambazuko ya machueo, filamu ya The

[01:07:46] Samaritan, filamu ya Fathers of Nations,

[01:07:49] filamu ya An Artist of the Floating

[01:07:51] World, filamu ya Parliament of Alls na

[01:07:54] filamu ya Silent Song and Other Stories.

[01:07:58] Unaweza kutizama hizi na filamu zingine

[01:08:00] nyingi za masomo? Soma sasa app Masomo

[01:08:04] mkononi. Tupigie simu kupitia

[01:08:07] 0722751375.

[01:08:11] Tembelea tovuti yetu

[01:08:13] www.climaxpublishers.org.

[01:08:16] Soma sasa app revision in your hands.

[01:08:29] Maradhi madhila yake hayasemiki.

[01:08:33] Yakimla mtu humdhakilisha.

[01:08:37] Humwacha hoi. Hana mbele wala nyuma.

[01:08:42] yakitaka huzichezea dawa mwajificho.

[01:08:46] Dawa zikiingilia huku maradhi hutokezea

[01:08:49] pale hali pesa zinakwenda shughuli

[01:08:53] zinasimama mifuko hufukarika lakini

[01:08:57] zaidi huleta wasiwasi usioisha.

[01:09:00] Ningekuwa na uwezo

[01:09:02] ningefanya chochote mathali ugonjwa

[01:09:04] uondoke.

[01:09:06] Dunia ina mitihani tosha

[01:09:09] lakini panapo maradhi sugu uzito wake

[01:09:12] haumithiliki.

[01:09:14] Inabaki kumuomba Mola afanye wepesi huku

[01:09:18] ukijipigapiga kutafuta jawabu.

[01:09:21] Ah bu mbona hivyo?

[01:09:23] >> Mbona vipi?

[01:09:24] >> Umenishtua mwenzio?

[01:09:27] >> Ah nimeingia taratibu lipi la ajabu la

[01:09:29] kukushtua?

[01:09:30] >> Ah sijui imetokea vipi lakini umenishtua

[01:09:33] mpaka pumzi zinanienda mbiu.

[01:09:35] >> Labda wewe ndio huna utulivu. Sasa

[01:09:37] unataka kunilaumu mimi?

[01:09:38] >> Utulivu utatoka wapi na hali hiyo ya

[01:09:40] ugonjwa?

[01:09:42] Haya karibu kiti.

[01:09:44] Asante

[01:09:48] ewa

[01:09:50] chumba hiki kinapendeza eh

[01:09:52] >> ah acha utani wako.

[01:09:55] >> Utani gani? Chumba chenyewe kinajisemea

[01:09:57] >> yote kwa raha yenu. Ningekuwa na

[01:10:00] mshahara mzuri zaidi. Ha chumba hiki

[01:10:03] ningekipamba vilivyo. M

[01:10:06] >> shukuru una mahali pa kuamkia siku baada

[01:10:07] ya siku. Bila hapo ungekuwa unafanya

[01:10:10] shughuli gani?

[01:10:11] >> Daima nashukuru japo hakitoshi.

[01:10:14] Hakitoshi vipi?

[01:10:15] >> Mahitaji yenyewe ni mengi.

[01:10:17] >> Sielewi. Nyumba ni juu yangu. Karo

[01:10:21] nalipa mimi. Chakula ninanunua mimi.

[01:10:25] Matibabu vile vile ni juu yangu. Sasa

[01:10:28] wewe mshara wako huo mbona usitoshe? Mh.

[01:10:31] Ama mafuta ya gari ndio yanayomaliza?

[01:10:33] >> Buu unaielewa hali yangu. Asili yangu

[01:10:37] naijua. Mahitaji ndio haya na mkono ni

[01:10:40] huu mmoja. Wasemavyo wahenga mmoja

[01:10:43] hashwi chombo.

[01:10:44] >> Ema kila tukizungumza unarudi tu pale

[01:10:47] pale kuonyesha kuwa sijali hata chembe.

[01:10:50] >> Si hivyo

[01:10:50] >> ni vipi basi?

[01:10:52] >> Ah ninasema tu kuwa mambo ukikuwa

[01:10:55] >> hayo maneno yako yananichosha.

[01:10:58] >> Ah sikukusudia hivyo. Najua kila mmoja

[01:11:01] wetu ana kishorubu chake anacholima.

[01:11:03] Ninaomba tu unitilie pondo ili huu mzigo

[01:11:06] wa mama uwe mwepesi. Kama huwezi basi

[01:11:10] ninaomba mkopo. Ema sijui mbona huelewi.

[01:11:14] Siku zote nimekuambia kimasomaso tena

[01:11:17] kwa lugha ya wazi kuhusu hili. Eh wajibu

[01:11:20] wangu kama mume nitafanya na nimejitolea

[01:11:22] kutekeleza kwa hali na mali kufikia

[01:11:25] hapo.

[01:11:27] Wewe unajua uzito wa majukumu niliyoayo.

[01:11:29] Mshahara wako sikuombi wala sikupangi

[01:11:32] gharama zote zinaujua tu mfuko wangu.

[01:11:35] >> Ninaomba tu alafu nitakulipa mwisho wa

[01:11:38] mwezi.

[01:11:38] >> Huelewi.

[01:11:39] >> Basi nieleweshe. Eh

[01:11:41] >> huelewi kuwa mambo ya ngomani huishia

[01:11:43] hapo. Mimi nimekuja nyumbani mapema

[01:11:45] maana ninamuonea faraja mke wangu.

[01:11:47] Lakini badala ya kunipokea moja kwa moja

[01:11:50] anauzua mjadala uliokwisha kufungwa. Si

[01:11:53] hata mgeni wa kupita hupewa angalau

[01:11:55] glasi ya maji au kikombe cha chai kwenye

[01:11:58] shaisani.

[01:11:59] >> Bila shaka kikombe cha chai utakipata.

[01:12:02] Ni vile tu fikira zangu hazina utulivu.

[01:12:06] Mama ndiye huyu hospitalini ninafaa

[01:12:09] nimtoe lakini nimepungukiwa na hela.

[01:12:12] >> Ninataka sana lakini mwenzio siwezi. Eh

[01:12:16] afadhali wewe ambaye ndio hivi sasa

[01:12:17] unaanza kukopa. Mimi nina madeni chungu

[01:12:19] mzima lakini nimeyazika moyoni. Mh.

[01:12:23] Ninavaa vizuri na kujivisha tabasamu ila

[01:12:25] ndani ni viraka na huzuni tele.

[01:12:29] Maana huwezi kushtakia hali yako kwa

[01:12:31] kila mja. Kama kitabu huyaficha yaliyomo

[01:12:34] seuze mimi binadamu.

[01:12:36] >> Haya nimekupata basi.

[01:12:39] >> Sawa. Haya haya mim naondoka sasa hivi.

[01:12:43] Eh

[01:12:43] >> mara moja hii ngoja nikuandalie kikombe

[01:12:46] cha chai.

[01:12:47] >> Ah labda baadaye. Nimekumbuka nina miadi

[01:12:49] sasa hivi na bwana mmoja niliyesoma naye

[01:12:51] shule upili. Yeye ni mkurugenzi wa

[01:12:53] kampuni fulani alianzisha. Ninakwenda

[01:12:55] kumsaidia jambo fulani. Eh kama

[01:12:57] likitimia huenda nikapata hela kidogo

[01:13:00] nikupige jeki.

[01:13:02] >> Haya Mwenyezi Mungu naifungue milango

[01:13:04] hiyo ya heri

[01:13:07] >> amina.

[01:13:11] >> Bunju ni mmoja wenu. Nyote ni wanangu.

[01:13:15] Hayo ni maneno ya mama. Wakati huo

[01:13:19] sikuona sasa ninaona.

[01:13:22] wanasema mwenye macho haambiwi tazama

[01:13:25] kweli ilioje

[01:13:28] japo hutokea wakati tukalalamika

[01:13:31] ninafikiri bunju ni zawadi nzuri kwetu

[01:13:35] leo tungekuwa wapi bila bunju

[01:13:39] maji yangezidi unga

[01:13:42] usingepikika

[01:13:43] usingelika

[01:13:45] hebu fikiri

[01:13:48] umepata ajali mbaya Haya

[01:13:51] imekuacha mahututi.

[01:13:54] Anapita mtu katika gari lake

[01:13:58] kwa imani anaguzwa.

[01:14:01] Anakufanyia mpango wa flying doctors.

[01:14:05] Ndege inafika kukupeleka hospitali

[01:14:08] mwenyewe huyo anakulipia kila kitu.

[01:14:12] Nakuambia kila kitu.

[01:14:14] mtu huyo

[01:14:16] atakosaje kuwa zawadi kwako?

[01:14:46] Leo ninaona una heri zaidi mama.

[01:14:48] Sina tatizo kubwa

[01:14:50] >> ni dawa tu za nipatie uchovu.

[01:14:53] >> Niliwaambia lakini hakunisikiliza.

[01:14:56] Sasa gharama zinapanda bure m na hiyo

[01:14:59] mfuko inaendelea tu kuwa king'onda.

[01:15:02] Hospitali hii inadai pesa si hama kila

[01:15:05] siku.

[01:15:06] >> Sote tunataka uende nyumbani kila kitu

[01:15:09] kikiwa tayari utakawia.

[01:15:12] Kufilisika si neno. Afadhali mifuko

[01:15:15] ifilisike lakini maradhi yasikufilisie

[01:15:18] afya. Mama naye mbishi sijui kama nini.

[01:15:20] >> Hata siubishi. Madaktari wamefanya kazi

[01:15:23] yao tena vizuri. Naye Mungu amerithia na

[01:15:27] kubariki kazi ya mikono yao.

[01:15:28] >> Hapa wapo manyakanga wote wa tiba. Hamna

[01:15:31] kubahatisha. Huwa wanatoa tiba nzuri

[01:15:33] naye Mungu huponya. Kwingine watu

[01:15:36] wanaofanyia mwili wako majaribio mha

[01:15:40] yanaingizwa kwenye patapotea. Inakuwa

[01:15:43] heri ukiwa mbali na mikono ya madaktari.

[01:15:46] >> Huduma za hapa ni nzuri kuliko za

[01:15:48] hotelini. Hadi unashindwa kuamini kuwa

[01:15:51] kweli ukoini. Kitanda kizuri, godoro

[01:15:54] zuzuri, shiti safi zilizopigwa pasi na

[01:15:58] wenyewe hawakawi kuzibadilisha.

[01:16:01] Kila zikija nyingine huwa tayari

[01:16:03] zimelainishwa kwa ulimi wa pasi.

[01:16:06] >> Si kama zile hospitali za kule nyumbani

[01:16:08] >> baadhi ni kama seli ukilazwa wewe tayari

[01:16:11] mahabusi.

[01:16:17] Ukilwa tayari unakuwa umeonja seli. Hata

[01:16:21] wahudumu wenyewe hawana mlahaka mwema.

[01:16:24] Amri na vitisho kama askari. unashindwa

[01:16:28] kama uuguze moyo ama ugonjwa katika wodi

[01:16:33] hewa ya harufu iliyojaa dawa imezagaa

[01:16:38] >> vitanda vimesalimu amri mpaka shiti

[01:16:42] zikagura

[01:16:44] yaani hali nzima haikupi matumaini ya

[01:16:47] kutoka ukiwa bora matumaini yanadidimia

[01:16:52] tumaini lako unaliweka katika sala

[01:16:55] >> hospitali zinastahili kuwa kama hii safi

[01:16:59] na wahudumu wote marafiki kwa wagonjwa

[01:17:02] unajenga imani kubwa kabla ya kutoa

[01:17:05] huduma

[01:17:06] >> huduma nzuri kweli lakini maadamu nina

[01:17:08] nafuu kiasi hiki ni vizuri kuondok

[01:17:11] >> ungekaa mpaka

[01:17:13] >> wanangu pesa sio mchanga

[01:17:16] >> haya basi na aishie hap

[01:17:22] >> mume wacha hawajambo

[01:17:23] >> hawajambo

[01:17:24] >> huyo mume wangu anasemaje anakuulizia

[01:17:27] mara kwa mara anataka kujua

[01:17:29] unaendeleaje.

[01:17:30] >> Aha. Na basi ungemleta akaniona siku

[01:17:33] nyingi sijamuona lazima amekuwa sana.

[01:17:35] Sasa

[01:17:36] >> watoto wa siku hizi wanakuwa mithili ya

[01:17:38] mchicha. Mimi hunishangaza juzi tu hapa

[01:17:41] kimekuwa hakijifahamu lakini sasa dume

[01:17:44] haswa na akili zake. Mara ile nilipokuja

[01:17:48] kilijitia kunifundisha na hata kikanipa

[01:17:51] na homework.

[01:17:56] Yule ana akili kama zangu.

[01:17:57] >> Zako

[01:17:58] >> au za baba?

[01:17:59] >> Zangu. Hizo ni akili za kwetu. Eh

[01:18:02] >> zinatia na kutoa utadhani mashini.

[01:18:05] >> Baba naye anasema zake ndizo sumaku

[01:18:07] haswa. Mimi hata sijui nishike lipi.

[01:18:10] >> Si neno. Furaha yangu ni kuwa nimejaliwa

[01:18:13] kumuona mume wangu kabla ya kuondoka.

[01:18:16] Sidhani nina muda mwingi.

[01:18:17] >> Mara ngapi tumekuambia uondoe hizo fikra

[01:18:20] hasi?

[01:18:20] >> Kemea huyo pepo mbaya. pepo ashindwe

[01:18:23] >> ashindwe kabisa

[01:18:27] >> hivi mnafikiria mauti yakija mtaweza

[01:18:28] kuyazuia

[01:18:30] >> si neno na yaaje lakini usiwe unayaalika

[01:18:36] >> hii siku ya ngapi nimelazwa hapa

[01:18:38] >> ya nn

[01:18:39] >> m ndio ya nn

[01:18:40] >> kumbe siku ya nn

[01:18:42] >> ninajua unafikiri kurudi nyumbani lakini

[01:18:44] utakaa wiki moja au mbili ukijisikiza

[01:18:47] >> hata ukirudi na hali yako ilivyo

[01:18:49] itakufaa nini

[01:18:51] >> hivi

[01:18:52] Una biashara gani uliacha nyuma

[01:18:54] unayohofia kuwa utaingia shoti?

[01:18:56] >> Biashara zangu ni nyingi. Nimeuacha

[01:18:58] mtama wangu shambani.

[01:19:01] Sijui kama umevunwa na kama umevunwa

[01:19:03] sijui kama shughuli yenyewe imekwenda

[01:19:05] vizuri au umeingia doa.

[01:19:08] >> Sasa hilo la mtama ndilo linalokufanya

[01:19:11] kuingia Jakamoyo

[01:19:12] >> dogo hilo

[01:19:13] >> m

[01:19:14] >> hujui mali yake mtu ndio roho yake. Hata

[01:19:17] ukapewa vyote uvidhamini bila afya.

[01:19:19] Maana yake ni nini? Si ni bure tu.

[01:19:22] Mwenyewe kwa kuyakamia nyumbani

[01:19:25] unaiponza roho yako bure.

[01:19:27] >> Hata huyo baba yenu anahangaika sana.

[01:19:30] Analilia hali yake sana.

[01:19:34] Maskini anaanza na kuku asubuhi kisha

[01:19:37] mbuzi na ng'ombe alafu tena afikirie

[01:19:40] kuhusu ukiamsha kinywa.

[01:19:43] Na labda maji nayo yamekwisha. Na hakuna

[01:19:46] wa kwenda kuteka maji kisimani.

[01:19:47] >> Baba bado kijana.

[01:19:50] Hawezi kushindwa kuteka maji kisimani.

[01:19:52] >> Hivi mtoto una akili wewe? Babako aende

[01:19:55] kisimani kuteka maji? Wazee wenzio

[01:19:58] watamuonaje. Kijiji kitasema nini?

[01:20:00] Kwamba amewasomesha watoto ambao

[01:20:02] wameniweka jijini ili babao ataabike

[01:20:06] watu wapate sababu ya kumtazama kwa

[01:20:08] sinia dharau. M hiyo ndio heshima.

[01:20:11] >> Basi usipandishe presha bure mama.

[01:20:14] Mimi hapa nala lakini yeye baba yenu je

[01:20:19] mimi nikae hapa nihudumiwe naye huko

[01:20:21] akae kama kifaranga yatima si desturi

[01:20:24] >> wala hutakaa hapa zaidi utaondoka leo

[01:20:27] ama kesho

[01:20:29] >> ninataka sana kuondoka na kwenda

[01:20:30] nyumbani.

[01:20:34] Hivi baba Remi amesafiri au vipi? Jana

[01:20:37] jioni na leo sijamuona. Mbona hajaja

[01:20:40] kuniona?

[01:20:41] >> Yupo ila shughuli zake nyingi. Mwenyewe

[01:20:45] hatulii kiguu na njia kama siafu.

[01:20:48] >> Ana bidii ya mcho.

[01:20:50] >> Bidii anayo lakini hana murua.

[01:20:51] >> Mimi sijaona kama amekosa adabu.

[01:20:53] >> Eti hajakosa adabu. Mh. Mtu ana ubaguzi

[01:20:57] kama nini? Ana moyo mgumu kama jiwe.

[01:21:02] Amejaliwa lakini bahili kama mchanga wa

[01:21:06] dhahabu. Hajui mali ya bahili. uliwa na

[01:21:09] wadudu

[01:21:10] >> Asna haya yote umeyatoa wapi huna simile

[01:21:14] ninaona ukiendelea hivi utavunjia

[01:21:16] mwenzako nyumba kumbuka kuwa msema

[01:21:18] husahau msemwa hasahau

[01:21:21] >> afadhali asisahau lakini ukweli nao

[01:21:24] usemwukeli gani

[01:21:25] >> huo kuishi kipunda hali mtu ana uwezo

[01:21:28] >> alikwambia nao

[01:21:29] >> mama mwache asna kawaida yake hiyo.

[01:21:31] Lakini shemeji yake alimwambia na uwezo

[01:21:33] huo.

[01:21:34] >> Lazima niambiwe si ninaona tu. Asna

[01:21:37] mwanangu hivyo sivyo chunga usiwe saati

[01:21:41] hii habari watu hawaishi hivo yeye dada

[01:21:46] anaona sikuchagua vizuri lakini

[01:21:48] nilikwisha kuchagua nina jeshi lake

[01:21:52] nyuma hakurudiki

[01:21:54] mimi ninamwelewa Bunju alivyo. Yeye ni

[01:21:57] kitinda mimba amelelewa na wakubwa wake.

[01:22:02] ya wazazi wake yalishughulikiwa na hao

[01:22:04] wakubwa wake wala hajazoea majukumu kama

[01:22:07] haya yeye anajua familia ni yeye mke na

[01:22:11] watoto zaidi ya hapo ni mzigo

[01:22:14] >> mara ya kwanza nilipomwelezea akakosa

[01:22:16] kuelewa nilipata culture show hiyo ni

[01:22:20] nini

[01:22:23] mshtuko wa namna fulani

[01:22:26] unaotokana na mtu kukabiliwa na hali ya

[01:22:28] maisha ya watu wengine ambayo inapingana

[01:22:32] na ile yake aliyoizoea.

[01:22:36] Hebu dada tuambie ikaweje?

[01:22:39] Nikiwa ninalipiga darubini hilo la

[01:22:42] kunishangaza nikagundua naye alikuwa na

[01:22:45] culture shoki yake. Hakuelewa vipi mtu

[01:22:48] atachukua jukumu la kubeba mizigo ya

[01:22:50] familia nzima badala ya kujiendeleza.

[01:22:53] Eh. Lakini ninashukuru

[01:22:56] maana licha ya yote tunaelekea kujua

[01:22:59] mipaka ya ushirikiano wetu ulipo.

[01:23:01] >> Wala hakuna wapatanao kama sahani na

[01:23:03] kawa.

[01:23:05] >> Mimi sitaki hili litukosanishe

[01:23:07] wala kumtia mama homa bure. Kumbuka

[01:23:11] daktari ameshauri kuhusu ugonjwa wako.

[01:23:14] Mivutano tuliyoshuhudia baina yenu hasa

[01:23:17] baba kukupeleka mbio kila wakati imezaa

[01:23:20] matunda haya. Ugonjwa wa moyo ni funzo

[01:23:23] kwetu kwamba amani na utulivu wa fikra

[01:23:26] ni hazina kubwa ya ustawi. Japo wengi

[01:23:29] wetu hatufahamu hivyo. Nimejifunza

[01:23:33] kushukuru kwa kila nipatacho hata

[01:23:36] akiwapo kidogo.

[01:23:38] Yaani moyo wangu umeridhika pakubwa.

[01:23:43] Ah basi mama leo utaondoka sisi tunaenda

[01:23:46] kulipa bili iliyobaki.

[01:23:48] >> Sawa mwanangu. Twende dada. Haya twende.

[01:23:59] Did you know the 844 curriculum

[01:24:01] underwent significant change in the year

[01:24:04] 2006?

[01:24:05] That's when the syllabus changed. Pocket

[01:24:09] positives, the best pocket size high

[01:24:11] school KCS revision books currently in

[01:24:14] the market. pocket positives a

[01:24:16] compilation of the past casse exams

[01:24:20] arranged topically and formwise from the

[01:24:22] year 2006 to the present.

[01:24:26] Pocket positives, the most update

[01:24:28] revision books with the most updated

[01:24:30] trends in setting and marking KCSE

[01:24:34] exams. Pocket positives, pocket size,

[01:24:37] pocket friendly.

[01:24:39] Call us on 0722751375

[01:24:44] or 0722579271

[01:24:49] or visit our website

[01:24:50] www.climuspublishers.org

[01:24:52] climuspublishers.org

[01:24:54] or download our somasasa app Pocket

[01:24:57] Positives your best revision partner.

[01:25:03] >> Kwa miongozo mizuri ya kina, mongozo wa

[01:25:07] pembea ya maisha, mapambazuko ya macho

[01:25:10] ngu za jadi, parliament ofs, artist of

[01:25:13] the floating world, fathers of nations,

[01:25:16] the Samaritan na silent song and other

[01:25:18] stories. Sisitiza miongozo ya Climax 3

[01:25:22] in1. Miongozo ya Climax 3 in1 imeandikwa

[01:25:25] na walimu wenye tajiri mapana katika

[01:25:28] kufunza na kutahini mtihani wa kitaifa

[01:25:31] yaani KCS. Miongozo ya Climax 3 in1 ina

[01:25:35] vijitabu vitatu ndani ya jalada moja.

[01:25:38] Kitabu cha kwanza ni ushauri kwa

[01:25:40] mwanafunzi kuhusu jinsi ya kukabiliana

[01:25:43] na maswali ya Kiswahili ya KCSC karatasi

[01:25:46] ya kwanza, karatasi ya pili na karatasi

[01:25:49] ya tatu. Pia kitabu hiki kina maswala

[01:25:52] ibuka pamoja na siri za utahini. Kitabu

[01:25:55] cha pili ni mongozo wenyewe wa kitabu

[01:25:58] husika. Kitabu cha tatu kina maswali

[01:26:01] maridhawa na maajibu mwafaka. Vitabu vya

[01:26:05] Climax 3 inone vinapatikana katika

[01:26:07] maduka yote ya kuuzia vitabu kote nchini

[01:26:10] kwa bei nafuu sana. Kumbuka vitabu vya

[01:26:14] Climax 3 in1 ndio vitabu pekee vilivyo

[01:26:17] na vitabu vitatu ndani ya jalada moja.

[01:26:20] Vitabu vingine vya Climax 3 in1 ni kama

[01:26:23] vile Climax 3 in1 ina kamilifu. Climax 3

[01:26:27] in1 fasihi simulizi kamilifu. Climax 3

[01:26:30] in1 sarufi kamilifu. Climax 3 in1

[01:26:33] mwongozo kamilifu wa ushairi climax 3

[01:26:36] in1 marudio kamilifu ya kiswahili.

[01:26:39] Vya kiingereza ni kama vile climax 3 in1

[01:26:43] a guide to mastering kcs poetry. Climax

[01:26:46] 3 in one a guide to mastering KCSC oral

[01:26:49] literature. Climax 3 in one a guide to

[01:26:51] mastering KCSC composition writing.

[01:26:54] Climax 3 in one mastering English paper

[01:26:57] one. Climax 3 in one mastering English

[01:26:59] paper two. Climax 3 in one your ladder

[01:27:02] to academic excellence.

[01:27:16] Umeona mwanangu?

[01:27:17] >> Ndio.

[01:27:18] >> Haya basi unaweza kuendelea mwenyewe

[01:27:20] lakini kwanza fanya hii ya kwanza nione

[01:27:23] >> mam. Ndio mwanangu

[01:27:25] >> nikimaliza kesho tutakwenda out.

[01:27:27] >> Kesho ni wikendi lakini mimi nitakuwa

[01:27:29] ninasafiri kumpeleka bibi nyumbani.

[01:27:31] >> Bibi ametoka hospitali?

[01:27:33] >> Ametoka leo.

[01:27:35] >> Na kwa nini hakuja kunisamilia? Kwa nini

[01:27:37] mama?

[01:27:38] >> Ah alikuwa amechoka sana. Usijali

[01:27:40] atakuja siku nyingine.

[01:27:42] >> Ni kitambo sana tangu twende out.

[01:27:45] Nimepeza sana kuogelea na kucheza na

[01:27:47] wenzangu.

[01:27:48] >> Haya nimesikia

[01:27:50] mwanangu. Nenda ukafue hanchifu yako.

[01:27:53] Utahitaji kuitumia kesho.

[01:27:56] >> Ah nilikuwa nimesahau kuifua. Asante

[01:27:58] mama kwa kunikumbusha.

[01:28:16] maskini

[01:28:18] siku nyingi hatujampeleka huyu mtoto out

[01:28:23] mambo yamekuwa mengi hujui ushike lipi

[01:28:27] uache lipi

[01:28:31] baba limi

[01:28:32] >> m

[01:28:32] >> kesho una time umpeleke huyu

[01:28:34] Ah si wikendi hii labda ile nyingine hii

[01:28:37] tayari na mambo mengi yamepangiwa.

[01:28:40] Ah maskini mwanangu atakuja kuwalia ngoa

[01:28:43] wenzake na si vizuri hivyo.

[01:28:45] >> Wewe huelewi siwezi kuacha kwenda kuvuta

[01:28:48] riziki niende michezoni.

[01:28:51] Hiyo michezo si kama ya zamani. Siku

[01:28:54] hizi inanunuliwa na kuimudu lazima

[01:28:56] uzimbue riziki.

[01:29:00] Tatizo lako ni kwamba una mingi

[01:29:03] m

[01:29:03] >> hata ukielezwa vipi lazima kwanza

[01:29:06] ubishe.

[01:29:08] utakuja kunifanya nionekane mbwa wa

[01:29:10] kasoro mkia

[01:29:11] >> uyasemayo si kweli ndio siwezi kudai

[01:29:14] kuwa maisha ni raha mstarehe 100 feel

[01:29:17] 100 lakini vile vile siwezi kugeuka popo

[01:29:21] kulisifia pangu usiku na kulidharau

[01:29:23] mchana wewe unafiruka roho bur

[01:29:27] >> ulitaka nifurahi haya wakati huna kaba

[01:29:29] ya ulimi

[01:29:30] >> nimekusema wapi au vipi

[01:29:33] mimi ninaonaona jambo na ni heri uliweke

[01:29:36] wazi peupe

[01:29:38] Bunju ninaona mambo haya yanaanza

[01:29:40] kunishinda hayanielei kamwe.

[01:29:45] Ilianza kama mchezo lakini ilivyo sasa

[01:29:48] mkondo huu ni wa mashaka.

[01:29:50] >> Mkondo huo unaujenga mwenyewe. Huoni

[01:29:53] kama mimi ni mume wako? Mh. Heshima

[01:29:56] uliyokuwa nayo tulipokutana siku hizi

[01:29:58] inaingia kutu siku baada ya siku. Sasa

[01:30:02] jembe ndilo hilo. Limepoteza makali na

[01:30:04] ninalima vibaya vibaya.

[01:30:07] Una maana gani?

[01:30:08] >> Eh hiyo moja. Huna shukrani tena.

[01:30:12] Nimekupa uhuru lakini uhuru huo unaanza

[01:30:14] kukulevya. Umeunda serikali yako ndani

[01:30:17] ya nyumba yangu. Mara nyingi uko nje

[01:30:20] kazi. Eh. Umeniachia karibu majukumu

[01:30:22] yote.

[01:30:24] Hata mtoto mara nyingi mimi ndiye

[01:30:26] namsaidia kufanya homework. Eh umesahau

[01:30:29] kuwa mimi ni mume, mimi ni kichwa na

[01:30:32] wewe ni shingo. Ninaona ushakata ubeleko

[01:30:35] unasubiri siku ya siku. Eh

[01:30:37] >> hayo yote ni ya nini Bunju? Mbona hutaki

[01:30:39] kunielewa?

[01:30:40] >> Dalili ya mvua siku zote ni mawingu.

[01:30:42] Mimi niliona viwingu vilianza

[01:30:44] kujikusanya ili kufanya wingu kubwa

[01:30:46] jeusi.

[01:30:46] >> Ah si kweli.

[01:30:48] >> Hutaki tena kuwa chini ya amri? Sikutaka

[01:30:51] kuwa kama waume wengine. Eh nilikupa

[01:30:54] nafasi kujiamulia mambo mengine kwa nia

[01:30:56] njema kabisa. Ah kumbe wema mfadhili

[01:31:00] mbuzi

[01:31:00] >> Bunju unatoa balagamu zote hizi kwa

[01:31:03] nini? Mbona hutaki kunielewa

[01:31:07] tangu nioe

[01:31:09] heshima zako zote nimezihifadhi ni lipi

[01:31:12] sikutimiza?

[01:31:13] >> Umetimiza yote bibie tangu mshahara hadi

[01:31:16] kunipangia la kufanya na mtoto bado tu

[01:31:19] kunipangia zile za ndani. Ah maskini

[01:31:22] hivyo ndivyo unavyonichukulia.

[01:31:25] Siku zote mimi humpeleka mtoto out

[01:31:27] lakini kesho unavyojua ninamsafirisha

[01:31:30] mama nyumbani. Tayari nilishakueleza

[01:31:32] yote.

[01:31:33] >> Eh ulisha kunieleza kwa maana kwamba

[01:31:36] ulisha kunitajia. Eh haukuja kunishauri?

[01:31:39] >> Sikujua hili nalo litaleta maneno.

[01:31:41] >> Sasa umejua.

[01:31:42] >> Ah sasa tufanyeje?

[01:31:44] >> Ikate safari.

[01:31:45] >> Oh no kitu kishapangwa. Amepanga nani?

[01:31:48] >> Tumeshapanga.

[01:31:49] >> Mlinishirikisha?

[01:31:51] Mh. Ama mimi ni sanamu tu hapa?

[01:31:53] >> Sasa haya yote ni ya nini? Mbona hivyo

[01:31:55] Bunju?

[01:31:56] >> Bado hujanijibu?

[01:31:57] >> Lakini nilikuwa sihitaji msaada wako.

[01:31:59] Hivyo sikuwa na haja.

[01:32:00] >> Eh msaada wangu ni pesa tu. Mh lazima

[01:32:03] unishauri tu wakati unahitaji nitie jeki

[01:32:05] katika jambo. Wewe unafikiri watu

[01:32:07] hushauriana tu kwenye maswala ya pesa?

[01:32:11] Unasahau kuwa maisha ni zaidi ya pesa?

[01:32:15] >> Kama ndivyo unavyofasiri mambo haitawahi

[01:32:18] kutokea tena.

[01:32:20] Laiti unaliaweka hayo yote wazi tangu

[01:32:23] mwanzo.

[01:32:24] Wewe siku zote hapo umejinyamazia

[01:32:28] na mimi ninaona kukuingiza katika

[01:32:30] hekaheka za familia yangu ni kukutwika

[01:32:32] mzigo usio wako. Maadamu leo umelitoa

[01:32:35] dukuduku lako utashirikishwa katika kila

[01:32:38] hatua. Lakini pia kumbuka wewe mwenyewe

[01:32:40] ulisema hutaki kushirikishwa katika kila

[01:32:42] jambo la kwetu. Hata uliposema mama

[01:32:45] asikae hapa mimi nilikuelewa tu.

[01:32:48] Sawa unatakaje?

[01:32:49] >> Hamna kitu nitakalo.

[01:32:51] Ninaomba tu unielewe kwamba wakati wewe

[01:32:55] kwa bahati mbaya wazee wako wametangulia

[01:32:57] mbele za haki, mimi wangu bado wapo na

[01:33:01] ni vyema kuwaangalia.

[01:33:04] Kumbuka ndio walionilea hata ukanipata.

[01:33:06] >> Mh. Nilikupata wapi? Mahuti.

[01:33:09] >> Ulinipata mahututi kweli.

[01:33:13] Ilikuwa ajali mbaya.

[01:33:16] zilipotea roho nyingi

[01:33:20] manusura tulikuwa watano tu

[01:33:25] bila msaada wako wa kuita flying

[01:33:27] doctors.

[01:33:31] Hii leo ningekuwa nimesalia kwenye

[01:33:33] kumbukumbu tu.

[01:33:36] Mwezi nzima nilikuwa sijifahamu

[01:33:39] hospitalini.

[01:33:43] Japo hukunijua

[01:33:45] uliguzwa ukanipigania nafasi yangu ya

[01:33:47] kuishi.

[01:33:50] Sijasahau

[01:33:53] daima nitashukuru kwa wema huo

[01:33:57] usio wa kawaida.

[01:34:02] Haikuwa rahisi

[01:34:05] niliponea tundu la sindano.

[01:34:14] Ah

[01:34:14] >> ah usifanye hivo usilie mbele ya mumeo.

[01:34:18] Sawa.

[01:34:29] >> Chakula kimekuwa kizuri sasa umiti.

[01:34:32] Kishi.

[01:34:35] >> Mama unajua vizuri mimi sipendi kupika

[01:34:38] tangu zamani. Eh mimi huwa na uvivu wa

[01:34:41] ajabu. Nikiwa pekee yangu chai ya rangi

[01:34:44] na mkate unitosha. Tabia gani hizo?

[01:34:47] Unaishi kivulana?

[01:34:48] >> Mimi ni tombo.

[01:34:50] >> Tombo ni nini?

[01:34:51] >> Kwa bahati mbaya hukuenda mbali

[01:34:53] kimasomo. Kwa hivyo huwezi kujua.

[01:34:56] >> Sikwenda mbali vipi? Siku zetu msichana

[01:34:58] akishakubalehe basi ilikuwa hana amani.

[01:35:02] Shinikizo moja kwa moja mpaka uzwi.

[01:35:05] Sikusoma kwa sababu sikuamudu masomo.

[01:35:08] Sikupata wa kunishika mkono na kunipa

[01:35:10] chondechonde ya shule.

[01:35:11] >> Ungekataa?

[01:35:12] >> Ukatae uende wapi?

[01:35:13] >> Matombo tunakataa tu. Sasa hiyo tombo

[01:35:15] yako ni nini?

[01:35:19] >> Ni msichana anayeishi na kutenda mambo

[01:35:22] kama mvulana.

[01:35:23] >> Kazi ipo mwanangu.

[01:35:24] >> Ni wakati wetu.

[01:35:26] >> Mojidanganya tu. Ujana ni mwishona huo

[01:35:29] umekwenda na wakati.

[01:35:31] >> Mhm.

[01:35:33] Na ninaona umeanza tena.

[01:35:35] >> Wala sianzi. Hivi unavyopika vizuri

[01:35:37] namna hii unasubiri nini? Kuna raha kula

[01:35:40] wawili. Hata hizo chai zitapungua

[01:35:43] nyumbani.

[01:35:47] Nilijua tu utamalizia hapo.

[01:35:49] Nilivyodhalili hivi sijui kesho

[01:35:51] imenifumbia nini. Nipe mjukuu nimbebe

[01:35:54] kwa mikono yangu hivi nimpe baraka

[01:35:55] zangu. Ninataka kuiona sura yake kabla

[01:35:59] ya maisha kunipa kisogo. Ninataka

[01:36:01] nimwonyeshe somo wangu.

[01:36:03] >> Ndoa zenyewe naziogopa mama. Unaziogopea

[01:36:06] nini na zimekuweko tangu enzi za mababu

[01:36:08] zetu? Mbona wenzako hawaziogopi?

[01:36:11] Wenzako sasa wana nyumba zao

[01:36:13] >> sababu ziko tele kama mchele.

[01:36:16] >> Si walao huo mchele huonekana ukatiwa

[01:36:18] jicho.

[01:36:19] >> Angalia mama

[01:36:21] madaktari wameeleza chanzo cha maradhi

[01:36:23] yako hayo. Mh. Ndoa imetia doa maisha

[01:36:27] yako. Imekuletea msongo wa mawazo kwa

[01:36:30] kukaribiwa na hata kupigwa na baba.

[01:36:34] Sasa mimi nataka uhuru wangu na sitataka

[01:36:38] kuchapwa kichapo cha mbwa mara kwa mara

[01:36:40] mpaka nikapata ugonjwa wa moyo. Matokeo

[01:36:44] yake ndio hayo.

[01:36:47] Kuna raha gani kama maisha ni kugeuzwa

[01:36:50] ngoma ukapigwa kwa fujo mpaka ukapasuka?

[01:36:53] >> Sikiliza Hasna si ndoa zote

[01:36:55] zilizotumbukia nyongo. Zipo za kupigiwa

[01:36:58] mfano. Kama yangu imeingia nuksi

[01:37:01] haimaanishi yako vile vile itaingia.

[01:37:03] Kama unasitikia ya neema haimaanishi

[01:37:06] zote zinasikitisha.

[01:37:08] Pengine changamoto zetu zingekuwa funzo

[01:37:10] kwako.

[01:37:10] >> Mama mitego haifanani.

[01:37:13] Yako si sawa na yangu.

[01:37:15] >> Ndio maana tumekusomesha uyatumie

[01:37:18] maarifa hayo kuendesha maisha yako.

[01:37:20] >> Kule shuleni hawafundishi kunga za ndoa.

[01:37:23] Ndoa ni mtihani mkubwa kabisa.

[01:37:25] >> Nawe umeshaona wengine walivyokufanya.

[01:37:28] Mama ajabu ya ndoa ni kwamba unafuzu na

[01:37:32] kukabidhiwa cheti kabla ya kuukalia

[01:37:35] mtihani mwenyewe.

[01:37:36] >> M

[01:37:37] >> mtihani huja baadaye.

[01:37:39] Kisha mtihani hiyo haina hata silabasi

[01:37:42] mahususi.

[01:37:46] Ni kama una hofu.

[01:37:48] >> Hofu itele. Mama

[01:37:50] tazama safari ya maisha ya neema.

[01:37:54] Alikuwa hodari asiyeshindika darasani.

[01:37:58] Alipita vizuri kwa alama za kumezea mate

[01:38:02] lakini unaona mtihani ya ndoa

[01:38:05] inavyomnyumbisha.

[01:38:07] Si yule neema mwenye

[01:38:10] ukakamavu na kujiamini kwa dhati sie

[01:38:14] tena. ya dadako ya na mumewe wanajuana

[01:38:18] vizuri

[01:38:18] >> katika hati hati zile

[01:38:20] >> maji yangekuwa yameshawafika shingo basi

[01:38:22] wangeshindwa kuishi pamoja ndoa ni

[01:38:25] bembea kuna wakati itakuwa juu na wakati

[01:38:28] itakuwa chini hizo juu chini chini juu

[01:38:31] ni za utamu wake ni kama maisha kwa

[01:38:33] jumla yanapanda shuka ndio lakini panda

[01:38:37] shuka hizo ndizo hutupa kuridhika

[01:38:39] hatimaye tunapozishinda

[01:38:41] maisha yangekuwaje bila hali kubadilika

[01:38:43] >> yangechua Usha

[01:38:44] >> unaelewa sasa

[01:38:45] >> lakini

[01:38:47] mengine huweza kuinyonya afya yako na

[01:38:49] kukuachaticha tupu kama vile neema.

[01:38:52] Tatizo lako wewe ni kuniona mimi na

[01:38:55] dadako ukadhani sisi ndio mwanzo na

[01:38:58] mwisho wa yote ya usio ndoa wala hatuna

[01:39:01] matatizo makubwa vile unavyofikiria.

[01:39:04] Lakini mama nimeona ukatili wa baba

[01:39:07] ulivyokulemaza.

[01:39:09] Zamani watu walikuwa wanasema maneno

[01:39:11] hayadhuru. Lakini tazama yalivyokudhuru.

[01:39:16] Tazama matokeo ya vipigo vyake.

[01:39:19] naye neema ameolewa na bahili mkubwa

[01:39:21] asiyejua maana ya familia hatuoni kama

[01:39:25] watu ni yeye na lake tu hayo ya

[01:39:28] shemejiwe yanakuwasha sana haifai hivo

[01:39:32] waachie maisha yao waendishe wenyewe

[01:39:35] mwanangu pilipili inawasha lakini bado

[01:39:38] watu huila mbirimbi ina ugwadu lakini

[01:39:41] bado watu huila

[01:39:43] mabenda nayo huteleza ajabu lakini bado

[01:39:46] watu huyala

[01:39:48] asiyetaka kula

[01:39:49] huwasikitikia au hata kuwaonea wenzake

[01:39:52] kinya kwa walacho. La muhimu ni kula kwa

[01:39:56] amani.

[01:39:57] >> Mama ninaona ushakuwa wakili wa mtu.

[01:40:00] >> Ningesoma zaidi kwa hakika ningekuwa

[01:40:02] wakili mzuri. Hakuna mtu angenishinda

[01:40:05] kisi.

[01:40:05] >> Ninaona

[01:40:06] >> ni nyinyi mnanidharau hapa. Eh na hizo

[01:40:09] akili zenu niwaridhisha mimi.

[01:40:11] >> Si kama za watoto wa dina.

[01:40:13] >> Watoto wa dina wana nini? Elimu tu.

[01:40:16] >> Elimu ni muhimu mama. hekima pia na hawa

[01:40:19] watoto wanayo

[01:40:21] >> kweli wana nidhamu japo elimu

[01:40:24] haikuwaitika

[01:40:25] >> mungu akupe yote. Akikupa hiki

[01:40:28] anakunyima kile. Akikupa yote

[01:40:31] yatakushinda. Lakini amewabariki watoto

[01:40:33] hao kwa amani na upendo wa ajabu.

[01:40:37] >> Zamani walikuwa maskini kweli. Leo hii

[01:40:41] wana afadhali kiasi kwamba huwezi kujua

[01:40:43] kuwa jana hawakuwa watu wa kutajwa au

[01:40:46] kupigiwa mfano kama walipigiwa mfano

[01:40:50] ilikuwa kuwabeza.

[01:40:52] >> Bado mtoto hujui mengi nyinyi vile vile

[01:40:56] hali yenyu haikuwa na afadhali.

[01:40:59] Mangapi yalisemwa kutuhusu tulichekwa na

[01:41:02] kusutwa

[01:41:03] >> si kwa umaskini lakini

[01:41:05] >> kukosa kwa namna yoyote ni umaskini. mtu

[01:41:08] huwa maskini wasichokuwa nacho.

[01:41:10] >> Sisi tulikosa nini?

[01:41:14] >> Tulikosa mengi. Kwanza sisi wazazi wenu

[01:41:17] tulichukua muda kabla ya kujaliwa mtoto.

[01:41:20] Watu walituona maskini wa watoto.

[01:41:23] Maskini wa kizazi. Wakatulaumu na

[01:41:25] kutusema bila simile. Bila simile.

[01:41:28] Tulipofarijika kwa kumpata neema na

[01:41:31] nyinyi mkafuata. Bado akatuona maskini

[01:41:34] wamrithi.

[01:41:35] maskini wa kushikwa mkono uzeeni.

[01:41:38] Baba yenu alipofutwa kazi wakatubandika

[01:41:41] maskini wa fedha.

[01:41:43] Hatimaye wengine walitutenga lakini kwa

[01:41:46] kudura za Mungu jahazi halikuzama.

[01:41:48] >> Baba naye

[01:41:50] nashangaa alikuwaje akiwa mwalimu?

[01:41:52] >> Alikuwa mwalimu hodari wakati wake.

[01:41:55] Watoto wakipita naye akipata zawadi mzzo

[01:41:58] kutoka kwa wazazi na serikali. Sasa

[01:42:00] ulevi tu ndio ukamharibia sifa zake.

[01:42:02] Ulevi? Ulevi mwanangu. Gongo liliyamega

[01:42:06] maadili yake kimya kimya na taratibu.

[01:42:09] Uwajibikaji ukawa umemponyoka na

[01:42:12] kuteleza kama sabwini ya povuje.

[01:42:15] Na kumwacha na kisomo chake tu. Moyo wa

[01:42:18] alimu ukawa upigi ndani yake.

[01:42:20] >> Eh wasingemsaidia kujirekebisha.

[01:42:22] >> Siku zile ilikuwa hakuna. Hakuna hata

[01:42:25] nasahau

[01:42:26] >> m

[01:42:26] >> vitu hivi vinaitwaje

[01:42:27] >> vituo vituo vya kusaidia mtu

[01:42:29] kujirekebisha

[01:42:30] >> hivyo.

[01:42:31] >> Ah maskini baba

[01:42:33] >> watu walifikiri yamekwisha lakini kumbe

[01:42:35] fanaka inachomwokea kwingine.

[01:42:38] >> Wanasema mlango mmoja ukifunga

[01:42:42] macho huiona mengine mengi iliyokuwa

[01:42:45] wazi ambayo awali yalikuwa hayaoni.

[01:42:49] >> Ndivyo ilivyo ila haikuwa rahisi. Watu

[01:42:52] walitusema sana na wengine kututenga

[01:42:55] lakini hayo yalikuwa kama vishindo vya

[01:42:58] mashua na sisi kama bahari. Tuliyacha

[01:43:00] yae na kusukumwa na wimbi la wakati. Leo

[01:43:04] heshima inarudi. Heri yalivyomalizika

[01:43:08] >> ombi langu lilijibiwa nikafarijika.

[01:43:10] >> Amina.

[01:43:14] >> Heri tupumzike mapema ili kesho tu

[01:43:17] mapema. Jogo wa kwanza akiwika nitakuwa

[01:43:19] nimeshika njia kwenda kwangu.

[01:43:22] >> Haya basi ili tupumzike ndio tuweze

[01:43:25] kuruka kesho.

[01:43:26] >> M

[01:43:34] >> sasa unaweza kutizama filamu zote za

[01:43:37] setbook popote ulipo wakati wowote

[01:43:40] ukitumia simu yako ya runununu.

[01:43:42] Download. Soma sasa app katika Play

[01:43:45] Store kwenye simu yako ubonyeze play na

[01:43:47] uendelee kutizama filamu zote za

[01:43:50] setbooks zikiwemo filamu ya bembea ya

[01:43:53] maisha, filamu ya nguu za jadi, filamu

[01:43:56] ya mapambazuko ya machueo, filamu ya the

[01:43:59] samaritan, filamu ya Fathers of Nations,

[01:44:02] filamu ya An Artist of the Floating

[01:44:04] World, filamu ya Parliament of Alls na

[01:44:07] filamu ya Silent Song and Other Stories.

[01:44:11] Unaweza kutizama hizi na filamu zingine

[01:44:13] nyingi za masomo? Soma sasa app Masomo

[01:44:17] mkononi. Tupigie simu kupitia

[01:44:20] 0722751375.

[01:44:24] Tembelea tovuti yetu

[01:44:26] www.climaxpublishers.org.

[01:44:29] Soma sasa up revision in your hands.

[01:44:45] Haya basi wazee wenzangu karibuni.

[01:44:48] >> Asante sana mzee mwenzetu.

[01:44:51] >> Tunafurahia makaribisho yako

[01:44:54] >> na tunashukuru.

[01:44:57] Hivi ndivyo walivyofanya wazee wetu.

[01:44:59] Mavuno ya kwanza huonjwa na wazee na

[01:45:00] kutoa baraka

[01:45:02] >> ni kwamba tu sasa hayatulii maanani

[01:45:04] tena.

[01:45:06] Lakini ilikuwa desturi nzuri

[01:45:08] >> leo watu hazingatii tena mambo hayo japo

[01:45:10] muhimu watu hukutana kula na kunywa na

[01:45:14] kubadilishana mawazo hekima uchoto

[01:45:16] kwenye vikao kama hivi.

[01:45:17] >> Nimewasikiliza kwa makini sana wazee

[01:45:20] wenzangu.

[01:45:21] Yote mliyoyasema

[01:45:23] ni ya muhimu sana.

[01:45:25] Tatizo la watu wa siku hizi wamezitupa

[01:45:28] mila zao kabisa.

[01:45:30] >> Pamoja na dini hizi zilizokuja

[01:45:32] kuwakengeusha watu kabisa.

[01:45:36] >> Wanaziona mila zetu kuwa chafu. Hawaoni

[01:45:39] chochote kizuri katika hekima ya wazee

[01:45:42] wetu.

[01:45:43] >> Ametupa jongoo na mti wake

[01:45:47] >> hajui kuwa mwacha mila ni mtumwa.

[01:45:50] Vizazi vijavyo havina utamaduni. Havina

[01:45:53] mila.

[01:45:55] Ah tayari vilivyopo havina chochote.

[01:45:58] Watoto siku hizi hawajui asili yao.

[01:46:01] Hawana lao. Wanafikiri uzungu ndio

[01:46:03] ustaarabu.

[01:46:04] >> Hiki ni kizazi cha njia panda za

[01:46:07] kitamaduni.

[01:46:08] Wana kila utamaduni isipokuwa wao.

[01:46:13] Wajukuu wangu walikuja wakati wa likizo

[01:46:17] na nilitambua kwamba hawajui hata neno

[01:46:20] moja la lugha yetu.

[01:46:23] Tuliishi kuongea kiswahili, kiingereza,

[01:46:26] hapa na pale katika hii ardhi ya wazee

[01:46:28] wetu.

[01:46:30] Ajabu zaidi

[01:46:33] hawajui tofauti kati ya mbuzi na kondoo.

[01:46:36] Kwao wao wote ni kondoo.

[01:46:39] >> Afadhali hao. Mjukuu wangu haofautishi

[01:46:43] kati ya kondoo, mbuzi na umbwa. Wote hao

[01:46:46] kwake yeye ni umbwa.

[01:46:52] Ah.

[01:46:53] inachekesha.

[01:46:55] >> Tunalea watoto lakini wakienda mjini

[01:46:57] wanasahau yote tuliowafundisha.

[01:47:01] >> Maisha ya mjini ni ya ajabu

[01:47:03] yana mbio nyingi.

[01:47:05] Hata malezi hayo hawayawezi tena.

[01:47:10] Eh kazi ni kuraukia vibarua na kurudi

[01:47:14] wakati watoto wameshalala.

[01:47:17] Mtu anaishi na wanawe ambao wiki nzima

[01:47:21] anarudi wakiwa usingizini wamelala fufu.

[01:47:27] Malezi yameachiwa yaya. Nyumba ni ya

[01:47:30] yaya.

[01:47:31] >> Yaya akitaka kumfunza mtoto lugha au

[01:47:33] tabia itakayo atafanya hivyo.

[01:47:35] >> Ulezi wa mjini una mashaka

[01:47:37] >> tena makubwa.

[01:47:38] >> Ni kama hakuna anayejielewa.

[01:47:44] Ah

[01:47:44] >> watu wako mbioni kutafuta maisha

[01:47:46] >> wengine wanafukuzana nayo haifai hivyo

[01:47:52] lakini watafanyaje wakae tu vijijini eti

[01:47:55] kwa sababu mji waenda mbio eh labda

[01:47:59] bebea yao ya maisha yuko pale mjini

[01:48:01] >> heri kukaa huko kwa sababu kuna afadhali

[01:48:04] kuna heri vile vile. Dunia inaenda

[01:48:06] ikibadilika

[01:48:08] na usipobadilika nayo utaachwa nyuma

[01:48:11] ushindwe kuwahi.

[01:48:13] >> Kuna nini cha kuahi? Tabia za mjini.

[01:48:16] Heri hapa kijijini

[01:48:18] >> katika umaskini wetu huu.

[01:48:20] >> Beni

[01:48:20] >> umezungumzaje wewe bwana?

[01:48:22] >> Au tayari ulishapitia mahali ukapiga

[01:48:24] pege mbili tatu kabla ya kuja hapa?

[01:48:26] >> Ah kawaida mimi silewi. Hata nikinywa

[01:48:29] nanyi mtalewa nyote mniache bado mzima

[01:48:32] kabisa.

[01:48:34] Sikiliza basi. Eh

[01:48:35] >> zamani mila zetu hazikuruhusu watoto wa

[01:48:37] kike kwenda skuli au kuridhi kitu.

[01:48:40] Zamani watoto wa kike walikuwa

[01:48:41] wanategemea mifuko ya uume zao. Sasa

[01:48:44] hali ni tofauti.

[01:48:46] Tamaduni mila na desturi zetu

[01:48:48] >> zinazidi kuyakubali mabadiliko.

[01:48:50] >> Dhamani ya mtoto wa kike imepanda na

[01:48:52] nafasi yake kupanuka. Kuyapuza haya yote

[01:48:54] ni kazi bure.

[01:48:55] >> Watoto gani wa kike? Hawaona. Hebu

[01:48:57] wataje wengine. Mh.

[01:48:59] >> Si neno ni hao tu.

[01:49:02] Lakini si waiona tofauti watoto wetu wa

[01:49:04] kiume hawezi kulinganishwa na hao hata

[01:49:06] kidogo.

[01:49:07] >> Wala watoto wa kike na wa kiume

[01:49:09] hawalinganishiki.

[01:49:11] >> Sikiliza Yona. Watoto hao

[01:49:12] wanalinganishika sana. Kumbuka awali

[01:49:15] sisi tulidhani kuwa mtoto wa kike si

[01:49:17] kitu.

[01:49:18] >> Tulijua akishakukua ataolewa akuache.

[01:49:20] Unakumbuka tulivyokushinikiza kua mke

[01:49:22] mwingine upata watoto wa kiume?

[01:49:24] >> Eh.

[01:49:25] >> Eh.

[01:49:26] >> Nakumbuka.

[01:49:28] >> Afadhali hivyo ulivyofanya. Kumbe watoto

[01:49:30] wao tuliowadharau walikuwa nyota yaa

[01:49:32] sasa kijiji kina mwanga.

[01:49:33] >> Mwanga

[01:49:35] >> mwanga haswa.

[01:49:37] Mtoto alirudi hapa juzi ile nyingine

[01:49:39] akipeleka gari safi. Mimi nikashindwa

[01:49:41] nani huyu anaingia humu kwa sisi kina

[01:49:43] Yahe? Na kulikubalia gari lake kutembea

[01:49:46] pasipo barabara ya maana.

[01:49:48] kutazama nikamuona mtoto wetu neema

[01:49:51] ameshika ushuki. Unafikiri nilikuwa na

[01:49:53] furaha kiasi gani? Sasa kila niendako

[01:49:57] ninawaambia watu tuna simba wa kike

[01:49:58] anayenguruma.

[01:50:00] >> Ndio alikuja hivi alivyokuja lakini si

[01:50:03] wetu tena ana kwake m angekuwa mvulana

[01:50:06] angejua babake yuko hapa Yona asingekuwa

[01:50:09] anakunywa uje hapa kijijini. Lakini Yona

[01:50:12] sasa wamemnyang'anya mke na kumweka

[01:50:14] mjini. mwenzangu hapa nahangaika kama

[01:50:16] kijana wa miaka 10 na kitu.

[01:50:18] >> Si kweli mke wangu amekwenda kupata

[01:50:20] matibabu na atarudi akipata nafuu.

[01:50:23] >> Ndio ni mgonjwa. Lakini mume ambaye ni

[01:50:27] mwanaume kweli hangoji kuelezewa nini

[01:50:30] kinafanyika.

[01:50:31] Eh. Hushirikishwa katika hicho

[01:50:33] kinachofanywa.

[01:50:35] Angekuwa mtoto wa kume si

[01:50:37] angekushirikisha hata akajua unahitaji

[01:50:39] kula. Eh sasa lipi la muhimu

[01:50:42] mtu kuweza kupata matibabu au kuja

[01:50:44] kumpikia mwenzake?

[01:50:45] >> Yona muda wote huu uliokaa nani

[01:50:49] anakupikia mzee mwenzetu? Hii ni miaka

[01:50:52] ya kujipikia.

[01:50:53] Ningeelewa zamani zile ukiwa mwalimu

[01:50:55] kabla ufutwe kazi siku zile ulikuwa

[01:50:58] kijana na nguvu zako sasa misuli yako

[01:51:01] imenyauka.

[01:51:02] >> Haidhur

[01:51:04] umenirudisha nyuma sana katika siku

[01:51:06] zangu za ujana.

[01:51:11] Asubuhi niko skuli

[01:51:15] masaa ya alfajiri

[01:51:17] kiboko mkononi

[01:51:20] aliyekuja baada yangu hata kama

[01:51:22] hajachelewa

[01:51:24] alikuwa hana lake.

[01:51:29] Siku nzima kazi tu.

[01:51:32] jioni tena darasani kiboko mkononi

[01:51:37] sio hivyo siku hizi

[01:51:40] huwezi kumnyoosha mtoto kwa kiboku

[01:51:46] vitabu navyo nilikuwa navifunga kwa

[01:51:48] baiskeli

[01:51:51] ili kwenda kuvisahihisha wikendi

[01:51:55] >> mpaka tembo iliponyoosha mikono yake na

[01:51:57] kukudak

[01:52:01] Basi tu wenzenu ndio waliniweka katika

[01:52:05] mkondo huu. Kama unakumbuka nilikuwa

[01:52:09] miongoni mwa vijana wa kwanza kuingia

[01:52:11] katika dini hata tulikuwa tunahubiri

[01:52:16] >> kisha ukateleza mara moja.

[01:52:19] Haikuwa mara moja mnavyofikiria.

[01:52:22] Ilianza pale chuoni wenzangu walinipa

[01:52:25] mrinyo kunirai kuonja ulevi.

[01:52:30] Mwanzo nilikataa

[01:52:32] lakini wakanizidi maarifa.

[01:52:38] Basi pole pole nikaanza kuushiriki.

[01:52:42] Lakini kwa kujificha.

[01:52:45] nilipotumwa kufanya kazi na kuanza

[01:52:48] kupitia mitihani ya familia

[01:52:51] ulevi ukageuka uraibu mpaka pale

[01:52:55] ulipofika kunifanya mtumwa

[01:53:00] ukaacha kazi

[01:53:01] >> nilishindwa kuingia kazini kila siku

[01:53:05] nilishindwa kuishi bila kulewa

[01:53:09] nilikuwa mtumwa tu

[01:53:11] >> siku zile mkeo alikuvumilia kwel

[01:53:14] angefanya nini?

[01:53:16] Kilikuwa kipindi kingumu.

[01:53:20] Alisaidia kuolea na kusomesha watoto.

[01:53:24] Mimi nikiwaangalia ng'ombe na shamba.

[01:53:28] Naye ndio huyo kashika njia

[01:53:31] kupeleka maziwa

[01:53:33] na bidhaa tulizozalisha sokoni

[01:53:38] bila yeye chombo kingezama.

[01:53:44] Ni kwamba tu siwezi kumwambia maana

[01:53:47] atajishaua.

[01:53:49] >> Ndio maana ameganda huko muda wote huu.

[01:53:52] >> Si neno yeye yuko kwa watoto wake. Mimi

[01:53:56] niko kwangu. Asipokuwa huko wewe unataka

[01:53:59] awe wapi? Hiyo ndio raha ya kusomesha.

[01:54:08] Sasa Ben imepata dawa mjarabu.

[01:54:10] >> I see

[01:54:12] amekuwa akinikera sana na mambo yangu.

[01:54:15] Pilipili iko sahanini mwangu lakini

[01:54:17] nashangaa yamwasha tu sana.

[01:54:19] >> Shida yako Yona ni kujipiga kifua ni

[01:54:22] kana kwamba wewe tu ndio una watoto

[01:54:25] waliosoma na wana kazi.

[01:54:29] wako umesomesha mpaka wapi?

[01:54:31] >> Ah si neno hawawezi kufanana lakini pia

[01:54:35] wamesoma kiasi chao na wana kazi.

[01:54:39] >> Kazi gani

[01:54:41] >> mwanangu mkubwa? Si ni engineia?

[01:54:45] >> Engineia wa nini? Je afanye kazi kule

[01:54:47] kiwa ndani wanakuchinjia kuku.

[01:54:50] Kwani uingineia ni nini? Sikuendesha

[01:54:52] mitambo. Mwanangu anaendesha mitambo

[01:54:55] humo kiwandani bila yeye halifanyiki

[01:54:58] jambo ni engineia wa kutegemewa.

[01:55:03] >> Basi ni uingineia huo.

[01:55:05] Usimdanganye mwenzio huyo ni fundi wa

[01:55:07] mitambo tu. Si engineia

[01:55:09] >> engineia sio ufundi wa mitambo. Mna nini

[01:55:11] ni nyinyi?

[01:55:11] >> Ah

[01:55:15] ona sasa hili lako linakuuma. la mwenzio

[01:55:17] walichangamkia

[01:55:19] kigumba kwa nguruwe kwa binadamu

[01:55:21] kichungu basi naya yaishe

[01:55:24] >> wala hayakuwepo ni kuyafanya tu marefu

[01:55:26] bur

[01:55:27] >> eh basi wazee wenzangu lililotuleta hapa

[01:55:30] si kuwasama wenzetu au kupimana nguvu

[01:55:32] >> m

[01:55:33] >> watoto wote ni wetu ni fahari yetu si

[01:55:36] leo tumekuja tunywe na tucheze ili

[01:55:39] kufurahia mazaa wetu

[01:55:41] >> m

[01:55:41] >> basi na tule tunywe na kusherehekea

[01:55:44] >> eh

[01:55:46] >> yabarikiwe mashamba yetu

[01:55:48] >> ibarikiwe mimea yetu

[01:55:50] >> ibarikiwe vizazi vyetu

[01:55:52] >> m

[01:55:53] >> amin

[01:55:54] >> amen

[01:55:54] >> am

[01:56:08] >> japo bado zinachosha safari za jiji kuu

[01:56:11] hazibugudhi tena kama zaman

[01:56:14] >> teknolojia imefanya mambo kuwa mepes

[01:56:16] Kama ni zamani zenu tungechukua siku

[01:56:19] tatu kupambana na barabara ya vumbi na

[01:56:21] ikinyesha ndio basi ni mpaka barabara

[01:56:24] ikauke ni safari iendelee.

[01:56:26] >> Waliosafiri siku hizo hawakuionea safari

[01:56:29] raha.

[01:56:30] Haikuwa tu mwendo wa kobe bali pia

[01:56:33] ilimtitiga msafiri na alipofika tayari

[01:56:36] alikuwa na mavuni.

[01:56:39] Afadhali ya mtu alimishae fahali kwenye

[01:56:41] ardhi iliyokanyakanwa na ng'ombe.

[01:56:44] >> Lami imerahisisha mambo.

[01:56:45] >> Hata haya magari yenyu ya siku hizi yana

[01:56:47] mbio kweli.

[01:56:49] >> Hayo ni kwa sababu ya lami. Barabara

[01:56:51] ikiwa imesakifiwa vizuri basi mwendo wa

[01:56:53] vyombo nao unakuwa wa haraka.

[01:56:56] >> Ulimwengu umeendelea sana. Mh umeendelea

[01:56:58] ndio lakini si huu wetu

[01:57:01] >> wa nani basi ulioendelea?

[01:57:03] >> Tazama mama sisi tumekuwa pale pale

[01:57:07] wakati dunia ya watu wengine ikikuwa

[01:57:09] nchi nyingi zimekuwa na maendeleo ya

[01:57:11] barabara za misimu yote. Ulimwengu

[01:57:14] umeendelea sana lakini sisi

[01:57:17] tunausindikiza tu. Tunasubiri uzalishe

[01:57:21] sisi tutumie. wanaozalisha wanavuna

[01:57:24] kweli lakini sisi hapa tupo pale pale

[01:57:28] kwenye hujuma na kuchimbana kwenye

[01:57:31] ugomvi na mivutano kwenye chuki na

[01:57:34] uhasama wa kitoto, kwenye tembo na gumzo

[01:57:38] lisililoisha penye uchimvi na kusutana

[01:57:42] haya ndio maendeleo yetu tunasubiri

[01:57:46] akili kubwa kuzalisha vya kutumiwa na

[01:57:48] ulimwengu mzima na sisi biashara yetu ni

[01:57:51] maneno ya kuvuta nyuma maazma ya

[01:57:53] kujiendeleza.

[01:57:55] >> Kweli unayosema mwanangu lakini unajua

[01:57:57] watu wa hapa kwetu walivyo

[01:57:59] >> mama ulimwengu unakwenda shoti

[01:58:03] watu wamechukua nafasi zao katika

[01:58:05] mtandao mzima wa nchi. Nafasi chache

[01:58:07] zilizosalia watu wanang'ang'ana

[01:58:10] kuzijaza. Lakini hapa kwetu

[01:58:14] mwanaume hasa ni yule ajuaye gongo

[01:58:16] lilipo na kujitolea kutumia hela yake

[01:58:19] yote kulinunua. Hivyo ndivyo

[01:58:21] walivyomfanyia babako wamemvuta na

[01:58:24] kumweka mikononi mwao. Sasa wanampeleka

[01:58:27] kama tiara kwenye upepo. Matokeo yake ni

[01:58:29] haya utumwa wa pombe.

[01:58:32] >> Ona sasa

[01:58:34] tangu tulipoingia majira ya saa 12 bado

[01:58:37] baba hajatia guu nyumbani.

[01:58:39] Hata hao mifugo wameachwa tu. yaache

[01:58:42] hayo usimwingililie sana babako. Mimi

[01:58:45] nilipoona kuku na mbuzi wamefungiwa

[01:58:47] mapema na ng'ombe wapo zizini nilijua

[01:58:50] babako amekwenda kwa wazee wenzake. Ni

[01:58:52] desturi ya kila mwanaume hapa. Afadhali

[01:58:55] baba yako anajaribu kusaidia hapa na

[01:58:57] pale.

[01:58:58] >> Anasaidia

[01:58:59] >> mgala muue na haki yake umpe. Eh kuna

[01:59:03] wakati baba yako huingia jikoni akapika.

[01:59:06] Yeye ndiye ajuaye mikutano ya vyama

[01:59:08] vyetu itakuwa lini. ndiye anahudhuria

[01:59:10] vikao vyote si kwamba afanye kitu

[01:59:15] baba yako hufanya inapobidi au

[01:59:17] anapojisikia lakini haifai hivyo

[01:59:19] >> inafaaje

[01:59:20] >> kushirikiana na kusaidiana katika kila

[01:59:23] hali

[01:59:24] >> huyo ni uzungu mama labda umesahau hapa

[01:59:27] kijijini kanuni yake ni tofaut

[01:59:30] akifanya sana haitasaidia watu watapata

[01:59:33] sababu ya kumcheka watasema niemkalia

[01:59:36] baba yenyu

[01:59:36] >> si waseme tu

[01:59:37] >> halfu mgeolewa wapi

[01:59:39] Binti za mama aliyemtilia mumewe mguu wa

[01:59:41] kausha.

[01:59:43] Ningefanya hiyo mngeza hapa.

[01:59:45] >> Kwa hivyo ulifanya hayo yote kwa ajili

[01:59:48] yetu?

[01:59:49] >> Hata bila nyinyi ningefanya tu.

[01:59:52] Utamaduni wetu ungali una nguvu

[01:59:54] mwanangu. Huwezi kushindana na mwanaume.

[01:59:57] >> Huwezi.

[01:59:59] Wanawake wangapi ni wajuao hodari kuliko

[02:00:01] wanaume katika kazi zao? Wengi tu.

[02:00:05] >> Fanyavu na hekima isije ikawa

[02:00:07] mnashindana. Wachezaji wa timu moja

[02:00:09] watashindanaje?

[02:00:11] Ushindani katika wanaume na wanawake

[02:00:13] masomoni na kazini si hoja. Lakini si

[02:00:16] nyumbani mwanangu. Mh. Mwanaume ni moto

[02:00:20] wa kifuu.

[02:00:21] Marehemu nyanyangu alipotupa mafunzo ya

[02:00:25] unyago alitueleza kila tulilofaa

[02:00:27] kutenda.

[02:00:30] Maarifa hayo ndio yaliwafikisha hapo

[02:00:32] mlipo. Vinginevyo ningefukuzwa au

[02:00:35] ningeumizwa vibaya nikashindwa kuwainua.

[02:00:38] mlipo leo ni matokeo ya mahala hizo.

[02:00:41] >> Afadhali usingestahimili

[02:00:43] >> leo mngekuwa wapi?

[02:00:44] >> Labda tungeolewa mapema kidogo. Na

[02:00:46] >> naam nakuwa kama mimi hapa. Sasa unaona

[02:00:50] leo ungekuwa unanilaumu kwa kukosa

[02:00:51] stahamala kwa kuyaharibu maisha yako kwa

[02:00:55] kukosesha elimu ungekuwa unazimizia mate

[02:00:58] fanaka za wengine labda machungu labda

[02:01:02] matamu.

[02:01:04] Japo sikujaliwa watoto wa kiume nilitaka

[02:01:07] sana mpate yale ambayo wangepata hawa

[02:01:09] watoto wa kiume. Kwangu mimi huo ndio

[02:01:13] ushindani.

[02:01:15] japo nilipungukiwa na mengi

[02:01:16] niliyoyatamani

[02:01:18] nilitaka nyinyi muote mbawa mpae juu na

[02:01:21] kuitazama dunia kutoka kule juu kwa

[02:01:23] niaba yangu stahamala yangu haikuniletea

[02:01:27] hasara mwanangu

[02:01:28] >> ninajua umejitolea maisha yako ili

[02:01:31] tupate mema lakini sasa ona matokeo yake

[02:01:35] ugonjwa wa moyo

[02:01:36] >> si neno mama m

[02:01:38] >> hakuna kizuri kijacho kwa urahis mazuri

[02:01:41] hutoka mbali na wakati mwingine

[02:01:44] yana hadithi za kutisha.

[02:01:47] Maisha yetu ni mfano ya mbegu

[02:01:48] iliyopandwa. Mbegu hiyo haina budi kuoza

[02:01:51] kwanza ndipo ioteshe mche upende zao.

[02:01:54] Mche huo wa asili ya mbegu iliyooza

[02:01:57] hatimaye hutoa zao la mbegu nyingi

[02:01:59] ajabu. Ukitazama vizuri mbegu ile haifi

[02:02:03] bali huchukua mkondo mwingine wa maisha.

[02:02:06] Huchukua umbo jipya lipende zalo hasa

[02:02:09] ikiwa itakuwa imeangukia ardhi nzuri

[02:02:12] hapa kijijini. japo yapo mawili matatu

[02:02:15] ya kusinya ardhi yake si mbaya

[02:02:19] imewaotesha nyinyi

[02:02:21] sasa rudini msaidie kuzalisha mbegu

[02:02:23] nyingi nzuri nyinyi mmebahatika kuwa

[02:02:26] mbegu nzuri iliyostahili kupandwa japo

[02:02:30] wapeliliaji ni haba

[02:02:32] shikeni sukani muwe marubani wa kweli

[02:02:35] ili ndege ipae angan

[02:02:37] >> maneno mazito hayo mama unanipa mwelekeo

[02:02:41] mpya sikujua una mengi mazuri zuri kiasi

[02:02:43] hiki.

[02:02:44] >> Nyinyi mnafikiri sisi ambao hatuna vyeti

[02:02:47] hatuna akili. Kisomo cha haja tu ndicho

[02:02:50] hatukujaliwa.

[02:02:51] Yako hata si maneno za kutosoma. Ni

[02:02:54] hekima hiyo.

[02:02:55] >> Ila hekima si hekima itokapo kwa

[02:02:58] mwanamke.

[02:02:59] >> Ah tamaduni zenu hizo.

[02:03:01] >> Wewe una bahati. Una huo utamaduni na

[02:03:05] huo usasa. Si kama mimi. Fanya maarifa

[02:03:08] utuletee huku. nitawezaje elimu unayo?

[02:03:13] >> Wasi na elimu hawawaheshimu wenye elimu

[02:03:16] hasa vijijini. Usilete elimu tu ipambe

[02:03:20] kwa hekima.

[02:03:21] >> Kweli

[02:03:22] >> kweli.

[02:03:24] >> Itachukua muda sana kabla ya kufikia

[02:03:26] hapo.

[02:03:27] >> Heri kuanza.

[02:03:30] Mbona unacheka basi?

[02:03:33] >> Kwa sababu wewe unafikiria utalianzisha

[02:03:35] jambo kubwa na jipya kama hilo na

[02:03:38] lenyewe litengenee mara moja. Mabadiliko

[02:03:42] yana kazi. Huchukua muda na hutaka

[02:03:45] kujitolea.

[02:03:46] >> Muda nitautoa wapi nilivyobanwa hivi?

[02:03:49] Hata mwanangu ninamuona mara nyingi

[02:03:51] akiwa amelala tu.

[02:03:52] >> Anza polepole.

[02:03:54] Anza na baba yenu badala ya kumkabili

[02:03:58] mshawishi

[02:04:00] atakuelewa.

[02:04:01] Akikuelewa

[02:04:03] atauendeleza ujumbe huu.

[02:04:05] >> Sasa ninaelewa mama.

[02:04:07] >> Vizuri kama umeelewa.

[02:04:14] >> Ah hivi ni saa ngapi?

[02:04:15] >> M inakaribia saa m:30.

[02:04:20] Ndio maana nasikia kuchoka hivo mara

[02:04:23] nyingi hii masaa kijijini saa m ikifika

[02:04:26] tunakuanga tumefunga milango na kwenda

[02:04:28] kulala.

[02:04:28] >> Mama unahitaji kupumzika

[02:04:31] >> safari ndefu huchosha hata kama

[02:04:33] unasafiri kwa starehe.

[02:04:34] >> Kweli mwanangu.

[02:04:36] >> Hai hata mimi nimechoka. Ah

[02:04:39] >> kesho pia ni siku.

[02:04:41] >> Mama itabidi kesho nizungumze na yule

[02:04:44] mtu aliyekuja kuwaomba kazi.

[02:04:46] >> Nitafurahia sana. Atatusaidia sana. H

[02:05:13] maskini mke wangu kumbe ugonjwa

[02:05:16] haukumsaza mwaka baada ya mwaka. mwaka

[02:05:19] umemla bila huruma

[02:05:22] awali niliona kama mchezo kumbe ilikuwa

[02:05:25] kweli. Kauli yake ninaona imesimama

[02:05:29] ni mwele hakika

[02:05:33] laiti ningejua

[02:05:35] jana ningeishi tofauti.

[02:05:38] Si lesi zetu za maisha tungezila

[02:05:41] zilivyokuja kwa furaha.

[02:05:45] Siku hazigandi wala jana haitarudi.

[02:05:49] Sasa jana imebaki kuwa kumbukizi baada

[02:05:53] ya kusombwa na wakati mfano wa mafuriko

[02:05:56] msimu wa masika. Kwa bahati nzuri bado

[02:06:00] tupo.

[02:06:01] Ninaweza kuiachia dunia ya tabasamu iwe

[02:06:05] silezi kwa vizazi vijavyo na kila mwenye

[02:06:08] nia njema.

[02:06:10] Siwezi kuendelea kuishi hivi sasa

[02:06:13] nimekata shauri.

[02:06:16] Lazima niache njia ya zamani na kuifuata

[02:06:19] mpya.

[02:06:21] Maisha mapya.

[02:06:24] Pombe umenichezesha kama mwanaseseri kwa

[02:06:27] muda mrefu.

[02:06:30] Umeninyima fursa ya kuielewa familia

[02:06:32] yangu.

[02:06:34] Hapana.

[02:06:36] Siku zangu za uzeeni lazima nizitumie

[02:06:39] kumwangalia mke wangu mgonjwa.

[02:06:43] Lazima nimshukuru kwa vitendo kwa jinsi

[02:06:46] alivyojitolea kuijenga familia yetu.

[02:06:50] Kwaheri pombe

[02:06:52] buriani.

[02:06:58] >> Shikamoo baba.

[02:07:01] >> Ah marahaba mwanangu.

[02:07:03] Umeamkaje?

[02:07:05] >> Salama. M

[02:07:07] >> habari za watoto?

[02:07:09] >> Nzuri hawana neno.

[02:07:12] >> Na mumeo je

[02:07:14] >> hana neno? Amekusalimu?

[02:07:17] >> Ah

[02:07:19] nezipokea salamu zake. Anaendeleaje?

[02:07:23] >> Kawaida yeye na hekaheka zake

[02:07:25] zinatusaidia kuhikimu familia. Hata

[02:07:28] zinatusaidia kulipia matibabu ya mama.

[02:07:33] vizuri

[02:07:36] mumeo ana bidii

[02:07:40] anajua kutafuta maisha

[02:07:43] asante mwanangu kwa kumleta mama yako

[02:07:47] ameniambia yote.

[02:07:48] >> Karibu baba niliona nitafute nafasi

[02:07:51] nimlete nyumbani. Unajua tena hali yake

[02:07:54] haitaki vuta nikuvute za usafiri wa

[02:07:57] umma.

[02:07:58] Umefanya vizuri mwanangu

[02:08:01] mbona hivi

[02:08:04] >> vipi tena baba

[02:08:06] >> hali yako

[02:08:08] naona umekuwa mwembamba sio kama zamani.

[02:08:13] Je unaumwa?

[02:08:15] >> Siumwi baba.

[02:08:18] >> Lazima pana jambo. Ni nini inakusumbua?

[02:08:23] Ni kama hauna raha.

[02:08:26] Hamna jambo linalonisumbua?

[02:08:28] >> Hapana mwanangu lazima lipo.

[02:08:30] >> Labda ni huu ugonjwa wa mama.

[02:08:33] >> Mh.

[02:08:35] Huo ni lazima.

[02:08:37] Umetikisa mjo wangu.

[02:08:41] Ungondoka tungepiga mbinja na

[02:08:43] vigelegele.

[02:08:45] >> Kwa bahati mbaya hautaondoka.

[02:08:49] Mama ataishi kwa dawa maisha yake yote.

[02:08:52] >> Amenieleza hivyo. Jambo hilo

[02:08:54] limenisumbua sana.

[02:08:57] nimetambua kuwa

[02:09:00] sikuwa naelewa hali yake.

[02:09:06] Ninasikitisha

[02:09:10] mwanangu.

[02:09:13] Asante kwa wema uliyomfanyia mamako.

[02:09:18] Umeusimamia mji wangu vizuri. Karibu

[02:09:21] baba ninashukuru kwa kutulea hadi tukawa

[02:09:24] watu wazima.

[02:09:26] >> Nashukuru mwanangu.

[02:09:30] >> Japo ulezi huo

[02:09:35] haukutimia

[02:09:37] nilivyotaka.

[02:09:41] Nyota niliyoikamia sana katika ndoto

[02:09:45] zangu za utotoni

[02:09:50] imepita na hiyo jana.

[02:09:56] Leo

[02:09:59] ndio iliyoko mkononi mwetu.

[02:10:01] >> Si neno baba ya Mungu ni mengi.

[02:10:05] Je habari za hapa nyumbani?

[02:10:09] >> Ah ni nzuri

[02:10:11] japo sio za kupigiwa mfano.

[02:10:15] Maisha ni haya unayoyaona

[02:10:19] ya kujituma kama kitoto kidogo.

[02:10:23] H ukiamka ng'ombe anakusubiri zizini

[02:10:28] akitaka umpeleke malishoni

[02:10:31] kuku nao ndio hao.

[02:10:35] Kinyezi kila mahali

[02:10:37] kinakutaka upanguze panguze

[02:10:41] na kufagia.

[02:10:43] jiko ni la kungoja uliwashe

[02:10:47] kujiandalia chochote

[02:10:51] utie kinywani.

[02:10:56] Baada ya kufungua kinywa vyombo navyo

[02:10:59] vinakusubiri

[02:11:03] vinangoja kuchua maji

[02:11:06] nazo kazi za shamba

[02:11:08] zinakungoja.

[02:11:10] Hata ukiwapa watu kazi inakuhitaji uwe

[02:11:12] pale uwalinde

[02:11:16] kutwa nzima kama askari jela. Lau sivyo

[02:11:20] utakuta wamekupunguzia kile kidogo

[02:11:22] ulichowaita kuja kukutengenezea.

[02:11:26] >> Pole baba. binadamu ndivyo tulivyo.

[02:11:30] Wachache wa shukrani.

[02:11:33] >> Wanataka njia rahisi

[02:11:35] na ya haraka kusuluhisha matatizo yao.

[02:11:39] Wanafikiria kuwa kuwapatia vibarua wewe

[02:11:42] umejiweza sana.

[02:11:44] >> Haswa hasa kama una mtoto alajiriwa.

[02:11:48] >> Wao wanajua kuna kitita cha pesa

[02:11:51] unachomwagiwa kila mwisho wa mwezi.

[02:11:53] >> I wish wangeelewa.

[02:11:55] If wishes were horses,

[02:11:57] begers would.

[02:12:01] A baba kumbe bado unazikumbuka

[02:12:04] sehemu hizo.

[02:12:06] >> Ah ndio. Nitazisahau vipi?

[02:12:08] >> Ah akili yako bado sharp kweli baba.

[02:12:13] >> Hakuna mtu katika ukanda huu

[02:12:16] aliyenipigwa.

[02:12:18] Ni nyinyi tu wanangu mnaonikaribia.

[02:12:23] Siku zangu hakuna aliyeshindana na mimi.

[02:12:26] >> Kumbuka nilikuwa wa kwanza hapa kijijini

[02:12:29] kufuzu kutoka chuoni.

[02:12:32] Niliwacha bonge la rekodi huko nyuma.

[02:12:34] >> Ilikuwa rekodi kubwa.

[02:12:37] >> M

[02:12:39] imesimama mpaka sasa. Kumbuka mlikuwa

[02:12:42] hamjazaliwa.

[02:12:45] >> Ninaskia hata pale chuoni imebaki kuwa

[02:12:48] rekodi ya idara. inazungumziwa hadi leo

[02:12:51] hii

[02:12:55] >> Yona mtoto wa Kalasinga

[02:13:00] angekuweko hadi sasa

[02:13:05] Kalasinga angekuweko hadi sasa

[02:13:05] angefurahi sana

[02:13:06] >> ah baba Kalasinga ndiye nani tena

[02:13:10] >> m ndivyo alivyoitwa babu yako

[02:13:12] >> m

[02:13:13] >> baba yangu aliweka rekodi ya kuwa

[02:13:16] mwafrika wa kwanza kufanya kazi kuwa

[02:13:19] mhindi

[02:13:21] alipanda ngazi hadi kuwa dereva wa

[02:13:23] muhindi. Kila alikoenda Muhindi

[02:13:27] akawa naye anaenda.

[02:13:31] Hatimaye akajua kihindi akajipa jina

[02:13:35] Kalasinga.

[02:13:37] >> Baba yako hashindiki kwa mjadala kama

[02:13:39] huu. Eh. Anaweza kuongea kutwa nzima.

[02:13:42] >> Hata mimi nimegundua hivi.

[02:13:43] >> Haya ende ukaandae kiamsha kinywa. mh

[02:13:46] mazungumzo hunoga zaidi kama utumbo

[02:13:48] umetulia.

[02:13:49] >> Haya nitaandaa mara

[02:13:51] >> nimeshaandaa tayari.

[02:13:53] >> Ah baba nawe

[02:13:55] >> lile jiko la gesi ulilotunulia hivi

[02:13:58] majuzi limesaidia pakubwa. Nilikuwa

[02:14:02] nangojea mama yako aamke ili tuweze

[02:14:05] kufungua pamoja.

[02:14:07] Zamani tulifanya hivyo lakini

[02:14:09] hatukuhidumisha

[02:14:10] desturi.

[02:14:12] Mama yako anaelewa.

[02:14:14] Nilipopata harufu ya mahamri nilijua

[02:14:17] bila shaka kwamba babako ameingia

[02:14:19] jikoni.

[02:14:19] >> Mama sijapata kuona baba akipika hivi

[02:14:22] karibuni.

[02:14:22] >> Ungeona wapi? Nyinyi mmekuwa skuli muda

[02:14:24] mwingi.

[02:14:27] Asante baba furaha iliyoje.

[02:14:32] Nimekulaumu kwa mengi kumbe sikuwa na

[02:14:35] picha nzima.

[02:14:37] >> Nakuelewa mwanangu. Samahani kwamba

[02:14:39] yamekuja kuchelewa.

[02:14:41] Natumai wadogo wako siku moja watakuja

[02:14:46] kuelewa. Samahani mke wangu sikujua upeo

[02:14:50] wa ugonjwa wako

[02:14:53] usitie shaka

[02:14:56] taabu zako za kuwa zangu.

[02:15:25] kwa miongozo mizuri ya kina mwongozo

[02:15:28] Bembea ya maisha mapambazuko ya macho

[02:15:31] ngu za jadi parliament ofs artist of the

[02:15:35] floating world fathers of nation the

[02:15:37] samaritan na silent song and other

[02:15:40] stories sisiza miongozo ya climax 3 in

[02:15:43] one miongozo ya climax 3 inone

[02:15:46] imeandikwa na walimu wenye tajiri mapana

[02:15:49] katika kufunza na kutahini mtihani wa

[02:15:51] kitaifa yaani kcsi miongozo ya climax 3

[02:15:56] in1 ina vijitabu vitatu ndani ya jalada

[02:15:59] moja. Kitabu cha kwanza ni ushauri kwa

[02:16:02] mwanafunzi kuhusu jinsi ya kukabiliana

[02:16:05] na maswali ya kiswahili ya KCSC karatasi

[02:16:08] ya kwanza, karatasi ya pili na karatasi

[02:16:10] ya tatu. Pia kitabu hiki kina maswala

[02:16:13] ibuka pamoja na siri za utahiti. Kitabu

[02:16:17] cha pili ni mongozo wenyewe wa kitabu

[02:16:20] husika. Kitabu cha tatu kina maswali

[02:16:23] maridhawa na maajibu mwafaka. Vitabu vya

[02:16:26] Climax 3 inone vinapatikana katika

[02:16:29] maduka yote ya kuuzia vitabu kote nchini

[02:16:32] kwa bei nafuu sana. Kumbuka vitabu vya

[02:16:35] Climax 3 in1 ndio vitabu pekee vilivyo

[02:16:38] na vitabu vitatu ndani ya jalada moja.

[02:16:41] Vitabu vingine vya Climax 3 in1 ni kama

[02:16:44] vile Climax 3 in1 ina kamilifu. Climax 3

[02:16:48] in1 fasihi simulizi kamilifu. Climax 3

[02:16:52] in1 sarufi kamilifu. Climax 3 in1

[02:16:55] mongozo kamilifu wa ushairi. Climax 3

[02:16:58] in1 marudio kamilifu ya kiswahili.

[02:17:01] Vya Kiingereza ni kama vile Climax 3 in1

[02:17:04] a guide to mastering KCS poetry. Climax

[02:17:07] 3 in one a guide to mastering KCSC oral

[02:17:10] literature. Climax 3 in one a guide to

[02:17:13] mastering KCSC composition writing.

[02:17:16] Climax 3 in one mastering English paper

[02:17:18] one. Climax 3 in one mastering English

[02:17:21] paper two. Climax 3 in one your ladder

[02:17:23] to academic excellence. Yeah.
